Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
- Thread starter
- #21
Na wanawake nao wakiongelea pesa basi mwanaume anaganda, ukitaka akukimbie sema hauna pesa au unamuomba halafu baadae utamjua ni atatimka kwa hiyo maiaha ya hivyo ni 50/50.
Mmetuzidi kwenye nyie ndio mnaitumia sana na wanawake sijui niseme wasichana hawana mbinu za kutengeneza habari labda awe amekubuu na hana shida sana ndio anaingia mkenge wenu kirahisi.
Sijakupata mkuu!