Mbinu mpya inayotumiwa na TIGO kuibia wateja wake

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,833
Sijawahi kukopa salio, lakini leo nimestaajabu kupata sms kuwa nimekopa sh. 1200/= na ninatakiwa kulipa 1320/=
huu ni wizi dhahiri, tume ya mawasiliano haina meno, inaacha wahuni wanaojiita wawekezaji waendelee kutubia.
Nahama tigo
 
mara unapiga cm ,oooh acha ujumbe wa sauti afu subiri uone moto wake..........mi nimeamia airtell
 
n kwel mkuu tigo wamezid na shangaa hawa tcra wanafanya nn.hebu tuamie airtel

Airtel nao wezi tu. Nina bonus kwa ajili ya internet (ile ya kuanzia saa tano usiku hadi asubuhi 12) lakini wanakula salio bonus inabaki!
 
Sijawahi kukopa salio, lakini leo nimestaajabu kupata sms kuwa nimekopa sh. 1200/= na ninatakiwa kulipa 1320/=
huu ni wizi dhahiri, tume ya mawasiliano haina meno, inaacha wahuni wanaojiita wawekezaji waendelee kutubia.
Nahama tigo

Mkuu kwani mtandao ni mmoja tu hama kwani ipo mingi tu na ikiendelea kuzingua hama tena hakuna mtu wakukuzuia
 
Wamehama wengi sasa wanajaribu kuziba mapengo. Njia nyepesi ni kudonyoa kidogo kidogo kwa kila mteja.
Wengi wnaostuka ni wale wanaoweka vocha kati ya 500 na 5,000.
 
Ole wako ungekopa! Kuna siku nilikopa, yaani hata ukiiangalia simu bila kuigusa tu wanatuma msg ' tunakukumbusha deni lako' sijui ilikua sh 200! In 5 mins nikitafuta vocha walituma msg sijui ngapi! Nilikoma!
 
Back
Top Bottom