Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Jamani na uzee wangu wote huu sijawahi kusikia kuwa kuna "haja ndogo ya hewa".
Mtu mzima gani kitoto cha juzi tu wewe,tena ndo nyie Lau Maha anasema hamjui "historia" ndo maana mwaichukia ccm
Jamani na uzee wangu wote huu sijawahi kusikia kuwa kuna "haja ndogo ya hewa".