Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,174
Hizi mbinu ni muarobaini wa wake/ma-GF korofi na utawashikisha adabu...............nimeifupisha kutoka kwenye hii makala ya
Donts for husbands
1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............
2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............
3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.
4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.
5)Akuchagulie nguo za kuvaa.
6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...
7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile
8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........
9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........
10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji
Haya ni masharti ya kukwepa mwanandni wako kufikiri naye ni kidume ndani ya mahusiano yenu..........ukishindwa haya au kama ukijipima ukaona hupati maksi 80 au maswali nane kati ya kumi basi wewe unatawaliwa na mwanamke na mahusiano yenu yapo hatarini kuvunjika au wewe kuwa huna furaha maisha yako yote na utakufa kwa shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo...................
amka jikomboe kutoka kwenye utumwa wa mwanamke..............
Donts for husbands
1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............
2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............
3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.
4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.
5)Akuchagulie nguo za kuvaa.
6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...
7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile
8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........
9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........
10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji
Haya ni masharti ya kukwepa mwanandni wako kufikiri naye ni kidume ndani ya mahusiano yenu..........ukishindwa haya au kama ukijipima ukaona hupati maksi 80 au maswali nane kati ya kumi basi wewe unatawaliwa na mwanamke na mahusiano yenu yapo hatarini kuvunjika au wewe kuwa huna furaha maisha yako yote na utakufa kwa shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo...................
amka jikomboe kutoka kwenye utumwa wa mwanamke..............