Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #21
hii kali ......nilijisahau nikijua mapenzi ya kweli yapo kumbe ni sawa nakutafuta ngararimu supermarket.
chauro unafikiri mapnezi ya kweli ni kututawala........................hayo ndiyo feki na matokeo yake wanaumme wengi wapo hospitalini wanaumwa magonjwa ya moyo, kiaduro, kisukari, shingo ya uume n.k....kwa ajili ya mateso mnayowapa in the name of deceptive love.....................wanaumme tujikombee tusijew tukafa kabla ya siku zetu.........