Kweli ujana ni maji ya moto!Huyu mama enzi zake inaelekea alikuwa bomba mbaya manake nikacheki baadhi ya nyimbo zake kama boyaye she was looking so beautiful and sexy!
Kweli ujana ni maji ya moto!Huyu mama enzi zake inaelekea alikuwa bomba mbaya manake nikacheki baadhi ya nyimbo zake kama boyaye she was looking so beautiful and sexy!
mwaka 1986 aliweka onyesho pale Uwanja wa Taifa (wa zamani) wakati bado akishirikiana Tabu Ley. Huyu mama alikuwa mrembo kweli kweli, ila ukweli ni kuwa muda hautusubiri sote. Akiwa mrembo alichanganya wanaume kweli kweli katika kipindi cha kunzia 1984 hadi 1991.
mwaka 1986 aliweka onyesho pale Uwanja wa Taifa (wa zamani) wakati bado akishirikiana Tabu Ley. Huyu mama alikuwa mrembo kweli kweli, ila ukweli ni kuwa muda hautusubiri sote. Akiwa mrembo alichanganya wanaume kweli kweli katika kipindi cha kunzia 1984 hadi 1991.
kufuatia na onyesho jingine kabambe Diamond Jubilee... lakini ukweli unabakia baada ya kuondoka huyu mwana mama, Tabu Ley naye aliporomoka, hata kina Faya Tess hawakuweza ziba pengo...!
...bado wamo sana tu huyu mwanamama, hebu angalia nyonga na manjonjo yake ya jana, hata huyo mwan'dada wa nyuma yake hayawezi!!! (kwa hisani ya issamichuzi blog)
mwaka 1986 aliweka onyesho pale Uwanja wa Taifa (wa zamani) wakati bado akishirikiana Tabu Ley. Huyu mama alikuwa mrembo kweli kweli, ila ukweli ni kuwa muda hautusubiri sote. Akiwa mrembo alichanganya wanaume kweli kweli katika kipindi cha kunzia 1984 hadi 1991.