nauma
Member
- Feb 20, 2013
- 87
- 39
........tumuombe Mungu baba japo mara moja kwa jumaaa....
Nadina Swahili Version alitengenezea Kenya
........tumuombe Mungu baba japo mara moja kwa jumaaa....
Nakumbuka nilipiga picha na Mbilia Bell alivyokuja Arusha na Rigo Star, mpaka leo nikiiangalia nakumbuka mbali sana ingawa nilikuwa mtoto mdogo, Nadina naipenda sana , Kuna mwingine Beyou Cell alikuwa vizuri
Mi nawakubali wote ila kwa Leo naenda kwa bibi Tshala Muana.cc secretarybird nipo na maman Mbilia Bel
wewe unajua mziki vizuri sanaMkuu Unafananisha Rais Wa Nchi Na Diwani Wa Kiaka Nkumbi? Tshala Muana Ni Habari Nyingine Na Hata Mbilia Mbel Analijua Hilo.
Asante sana Mkuu.wewe unajua mziki vizuri sana