bullet
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 1,047
- 545
Huo ni Nadina.
Hao jamaa ni talented kweli kweli na wala siyo maigizo. Kama ni Vocal ni Vocal ya ukweli, mtu ananata na beats ananoga na kukolea kushingo.
Asante mkuu kwa kunikumbusha, ndio wimbo huo unaitwa "Nadina".
Hawa wamama mwimbaji ambaye angekula nao sahani moja ila akokasa nyenzo ni SAIDA KALOLI.