Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 2,955
- 5,877
Toka nikiwa mdogo (sasa ni mtu wa makamo) nimekuwa nikisikia mabaya tu yakisemwa kuhusu utendaji kazi wa askari polisi. Hadi leo nimeona Kamati kuu ya ccm ikitoa maelekezo kwenda kwa serikali kulihusu Jeshi la Polisi. SWALI LANGU: Je, ni kweli kuwa Jeshi la Polisi Tanzania ni hovyo kila nyakati/miaka nenda rudi?
Ninajua humu JF kuna wataalamu mbalimbali, hivyo naomba kujua kama yapo mazuri yatendwayo na PT. maana kuna nyakati hali ilikuwa mbaya hadi baadhi ya wananchi wakadai bora lifutwe yaani lisiwepo!!!!
Karibuni.
Ninajua humu JF kuna wataalamu mbalimbali, hivyo naomba kujua kama yapo mazuri yatendwayo na PT. maana kuna nyakati hali ilikuwa mbaya hadi baadhi ya wananchi wakadai bora lifutwe yaani lisiwepo!!!!
Karibuni.