Mbezi na Kimara aziwezi kuifikia ubungo hata kwa chembe, uwekezaji uliopo ubungo ni mkubwa uwezi kulinganisha na izo mbezi na kimara
Miradi iliyopo ubungo na yenye kufanya watu wengi kuja Ubungo
1. Tanesco Co.
2. Wizara ya maji
3. University of Dar es salaam Tanzania
4. Mlimani city
5. Ubungo plaza
6. Ubungo Millennium business Park

7. Songas Co.
8. Kibuku Co.
9. Godown
10. Mawasiliano business center
11. Bank zote zipo Ubungo ambazo zinafanya watu wengi kuja Ubungo
Nyingine sijataja kwa ubungo sio ya kulinganisha na sehemu izo nyingine nyingine
Stand ya mkoa sijaiweka kwa sababu itahama