Mbona siamini.Kwa Interchange kama hii, Dar lazima ipendeze.. Hongera sana Tanroad.View attachment 918353
mdau hauamini hahahahahaha mhhh hata mimi siwezi amini hata kidogoMbona siamini.
Ni ndoto au kweli?
Umenena ndugu yanguInawezekana tukiamua...
Masikini wa milele wewe walahiNyoooooo, thubutu,
Mwenye Enzi Mungu ibaraki nchi yangu Tanzania walahiNi Kweli Pale Mbezi Mwisho Wanajenga Interchange na Mkandarasi ni Estim
Mizembe hiyo mijitu fyeeekelea mbali walahiUfipa hawataki ijengwe wamegoma kabisa ... wanataka isijengwe ili waongee 2020
kesho yule wa belijiam atatoa tamko kupinga ujenziMizembe hiyo mijitu fyeeekelea mbali walahi
HahahahaaaKwa Interchange kama hii, Dar lazima ipendeze.. Hongera sana Tanroad.View attachment 918353
Kwa Interchange kama hii, Dar lazima ipendeze.. Hongera sana Tanroad.View attachment 918353
Masikini ni wewe na jiwe wakoMasikini wa milele wewe walahi
Pale ufipa itapita flyover mjiandae kurudi machameMasikini ni wewe na jiwe wako
hahahaha, unajikuta umerudi ulikotokaZamani walikuwa wanapotea waenda kwa miguu, ila soon wataanza kupotea waenda kwa mandinga