OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,654
- 9,254
Mbezi beach mtaa wa Bondeni jirani na kituo cha daladala kuna shughuli za ujenzi wa daraja la juu (fly over).
Katika shughuli za ujenzi huo wakati wakichimba mtaro mafundi walikosea wakatoboa bomba kubwa la maji (main pipe) pakatokea mafuriko,Sasa tokea juzi wamekata maji na wananchi hawakuwa wamejipanga na hawakuwa na taarifa yoyote na kuna dalili za wao kutumia siku nyingi kuziba hiyo sehemu au inawezekana wakakaa kimya kabisaa na wakaendelea shughuli zao nyingine huku wananchi wakiendelea kuteseka kwa ukosefu wa maji na sijajua kama wanamamlaka halali ya kukata maji.
DAWASCO tunaomba mlifanyie kazi hili jambo mitaa kadhaa haina maji mpaka sasa, kama hamkuwa na taarifa basi fuatilieni.
Katika shughuli za ujenzi huo wakati wakichimba mtaro mafundi walikosea wakatoboa bomba kubwa la maji (main pipe) pakatokea mafuriko,Sasa tokea juzi wamekata maji na wananchi hawakuwa wamejipanga na hawakuwa na taarifa yoyote na kuna dalili za wao kutumia siku nyingi kuziba hiyo sehemu au inawezekana wakakaa kimya kabisaa na wakaendelea shughuli zao nyingine huku wananchi wakiendelea kuteseka kwa ukosefu wa maji na sijajua kama wanamamlaka halali ya kukata maji.
DAWASCO tunaomba mlifanyie kazi hili jambo mitaa kadhaa haina maji mpaka sasa, kama hamkuwa na taarifa basi fuatilieni.