Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
Mambo vp to all jf members whatever you are i hope wote mko fresh na mishe zinasonga,nisiwatie uchovu kwa mara nyingi nimeweza kusikia arusha wing,tanga wing,dar wing ndani ya jukwaa but nahisi wana MBEYA tumejitenga sana katika jukwaa please naomba tufahamiane ili kuweza kutengeneza umoja wetu!!! ASUBUHI NJEMA