MBEYA WING SPECIAL THREAD: hata kama hauko mbeya thread inakuhusu!!!

MBEYA WING SPECIAL THREAD: hata kama hauko mbeya thread inakuhusu!!!

Yusuph Issa

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
528
Reaction score
82
Mambo vp to all jf members whatever you are i hope wote mko fresh na mishe zinasonga,nisiwatie uchovu kwa mara nyingi nimeweza kusikia arusha wing,tanga wing,dar wing ndani ya jukwaa but nahisi wana MBEYA tumejitenga sana katika jukwaa please naomba tufahamiane ili kuweza kutengeneza umoja wetu!!! ASUBUHI NJEMA
 
Mambo vp to all jf members whatever you are i hope wote mko fresh na mishe zinasonga,nisiwatie uchovu kwa mara nyingi nimeweza kusikia arusha wing,tanga wing,dar wing ndani ya jukwaa but nahisi wana MBEYA tumejitenga sana katika jukwaa please naomba tufahamiane ili kuweza kutengeneza umoja wetu!!! ASUBUHI NJEMA

Nipo Kyela-Ipinda
 
Forest ya zamani karibia na sabasaba ndio home.. Mbeya daima
 
Mambo vp to all jf members whatever you are i hope wote mko fresh na mishe zinasonga,nisiwatie uchovu kwa mara nyingi nimeweza kusikia arusha wing,tanga wing,dar wing ndani ya jukwaa but nahisi wana MBEYA tumejitenga sana katika jukwaa please naomba tufahamiane ili kuweza kutengeneza umoja wetu!!! ASUBUHI NJEMA
Tunduma kwetu japo niko Dar
 
asante bufa sinde kota za polisi ndo kwa father niaje lakin?

Dah we jirani yangu kabisa aisee.. Lazima tunafamiana in someway. Nimecheza sana soka polisi hapo

PC, Roma unawajua hawa jamaa?
 
Dah we jirani yangu kabisa aisee.. Lazima tunafamiana in someway. Nimecheza sana soka polisi hapo

PC, Roma unawajua hawa jamaa?

dah! pc namsoma sana mzaz but roma simpati mi niko kota f.f.u!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom