NGANU
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,919
- 393
Chibolo...id yenyewe utata.!!
Umeona eheee ID yenyewe ilivyo tata so tusimlaumu sana.
Chibolo...id yenyewe utata.!!
Kwa nini aende kuripoti kwa afisa elimu jioni, si angelala aende kesho yake asubuhi. Kama alicheleweshwa na afisa elimu kwa nini asitoe taarifa takukuru mapema, ona sasa. Sasa asichelewe kupima HIV.Huyo mwalimu hana akili hivi utaendaje kujikabidhisha bar kwa mlevi unatafuta nn
Kosa kubwa lipo kwa afisa elimu wa wilaya. Makabidhiano ya kikazi yanatakiwa yafanyike kazini tena muda wa kazi, watanzania tunapindisha maadili ya kazi.Ni bora angempeleka moja kwa moja kwenye kituo cha kazi. Huwezi kwenda kumkabidhi mtu baa tena kwa mlevi ati ampeleke kituo cha kazi.
Afisa elimu wa wilaya ilitakiwa amtafutie malazi huyo mwalimu kwa sababu usiku ulikuwa umeshaingia, ili asubuhi yake ampeleke anapotakiwa.
Mwalimu mkuu nae ana kosa la kubaka, ambalo lingeepukika kama afisa elimu wa wilaya asingeenda kinyume na maadili ya kazi.
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.
tatizo sio walimu tatizo ni sisi wenyewe kwa kuichagua ccmhata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.
1).Kwa nini aende kuripoti kwa afisa elimu jioni, 2).si angelala aende kesho yake asubuhi. 3).Kama alicheleweshwa na afisa elimu kwa nini asitoe taarifa takukuru mapema, ona sasa. Sasa asichelewe kupima HIV.
Pole mwalimu ingawa nawe kwa sehemu ulichangia.
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.
chibolo lazima ni mhitimu wa mwaka jana uliyetaga(kupata zero)
so offensivehata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.