Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

Ka mkubwa, now nasema kutongoza ni wale wadada wa kule uhindini na mitaa ya mbaliz road wa maofisini wanaonekana wamestaaribika, au nako wale wale?. Ishu nikiwa na mwanamke nataka niichakate pekeangu
 
Ka mkubwa, now nasema kutongoza ni wale wadada wa kule uhindini na mitaa ya mbaliz road wa maofisini wanaonekana wamestaaribika, au nako wale wale?. Ishu nikiwa na mwanamke nataka niichakate pekeangu

Demu wa kuchakata peke yako unaweza mpata hapo, ila utulize akili sana, wajanja wengi sana hapo. Mbeya kuna wimbi kubwa sana watoto wamezaliwa na MOTO, Utakutana na mtoto mkali mbichi hapo kumbe anakula SHUDU. 😁
Cha kukushauri hapo ni kuwa makini sana hapo, kwa hovyo sana hapo Mbeya. Chunguza chunguza sana mamanzi hapo na ujikinge bwamdogo. Hata sisi tulikuwa tunapiga ila kwa ujanja na undava mwingi sana. Mbeya ndo sehemu unaweza mnunulia malaya chipsi kavu ukalala nae mpaka asubuhi na ukampa elfu mbili. 😁
Kila la kheri.
 
Now nimeabstain, niko na dry spell kama ya miez mi 3, maana ilikuwa kila nikikutana na mwanamke ni kujitoboa toboa tuu. Mi kama vipi naachana bhana na wanawake wa huku, wananiboa kinyama. Toka nije huku sijabahatika kupata mwanamke wa pekeangu yaani, ni full kamba.
 

Dogo maisha ni mbinu, upwiru samtaimu ukiuendekeza jau. 😁
 
Hivi hili ni la kulisemea mkoa wa Mbeya tu?! Bhasi ndugu yangu hujazunguka mikoa mingi hii Tanzania especially miji mikubwa. Alafu kingine being a friend suggested in Facebook ni muunganiko wa kuwa sehemu moja (Location), kuwa na number ya simu ya muhusika au inategemea na mutual friends walioko kati yenu na si vinginevyo. Kama unavyojiona wewe kuwa kwenye platforms nyingi na wao wana haki ya kuwepo huko pia kwasababu kama zako. Hayo mengine ni ya ziada tu ambayo yanapatikana mikoa yote na duniani kote. Labda uende kuishi kwenye sayari yako pekw yako au North Korea wanaotumia intranetπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Amia Mbalizi Ifisi kwa watoto washamba washamba wanaotoka Rukwa kuja kusoma chuo cha afya pale kama unataka wa peke yako.πŸ˜€
 
Ni wapi unaenda kupata wa peke yako?
 
Kula kimyakimya,chapa lapa.
 
Mkuu ni kweli hawa madada wa town wengi majambazi, unaweza ona binti yuko smart, innocence face ukasema umepata. Kumbe...
hao wa mjini ndugu walienda college ya utapeli na uhuni mwingi ndo wakaja mjini hata sio mbeya tu ni miji yote yaan hao watu ni wale wanakuibia ukiona tena mchana kweupe
 
Wadada wengi kibaha Tinder hawaijui wala badoo, kuna dizain unauona utofauti.
Kwahiyo kuijua Tinder na badoo ndio kipimo cha kutokutulia?
Vipi kuhusu wadada wanaojiuza live bila kutumia hiyo mitandao,wao wanakua wametulia coz hawaijui hiyo mitandao?

Wewe hua unaenda kwenye hiyo mitandao kufanya nini? huoni kua na wewe una mchango katika kutokutulia kwao coz hakuna supply bila demand kwenye biashara.
 
Yaani kule mdada anaishi Ilomba lakini network yake inasoma mpaka Tunduma, na bado anakuambia "nimepoa home nakuwaza wewe tu."

Mbeya mjini ni kama soko la Mwanjelwa kila mtu ni mteja na kila bidhaa ina ofa, ukiona mdada mstaarabu sana kule, jua huyo ni guest Player ametokea mkoani.

Ukitaka wa kutulia naye Mbeya labda uhamie milimani kule Rungwe, maana hapo mjini kati ni mwendo wa pasi fupi fupi na kukaba kote kote!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…