Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,402
- 320
mleta maada nahisi
una some failure in your mind;
una some failure in your mind;
Hivi mbunge kama huyu anaweza kweli kuwakilisha wasomi , maprofesa na wafanyabiashara wa mji wa mbeya. Ataongea nini? Ana upeo gani? Ana elimu gani? Hajawahi kuwa hata monita wa darasa au mjumbe wa nyumba 10
Hapo umenena kwa sababu wa makambako ni mwanamagamba ndio maana hajamsema kamwona mwanamagwanda tu mkuu.Mkuu, unajikinga mvua kwenye pango halafu unajisaidia haja kubwa kabla mvua haijaisha? Si yatakunukia mwenyewe? Si bora hao wa mbeya wamemchagua sugu? Wa makambako waliemchagua jah people aliyeishia std one utawaitaje? Au hao hawaguswi coz wamemchagua mwana magamba?
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU