MBEYA mjini wana matatizo gani

MBEYA mjini wana matatizo gani

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,036
Reaction score
330
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU
 
Hivi mbunge kama huyu anaweza kweli kuwakilisha wasomi , maprofesa na wafanyabiashara wa mji wa mbeya. Ataongea nini? Ana upeo gani? Ana elimu gani? Hajawahi kuwa hata monita wa darasa au mjumbe wa nyumba 10
 
tiririka zaidi mkuu imekuwaje kafanya wapi mambo hayo ?
ila naamini watabadilika katika uchaguzi unaokuja ikiwa watampima kwa matendo na siyo jina na umaarufu.
 
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU

Why don't you get yourself an AVATAR first before everyone else looses their tempers? This one matches well with your ID

tick.jpg
 
Mulugo anahangaika sana,kwa hiyo unataka kutuabia watu wa mbeya hawana akili?
 
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU
Kabla ya kuchangia lolote tunaomba utupe sifa ya kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Maana sisi wakazi wa Kinondoni kwenye wajanja wote Mbunge wetu Idd Azzan ni darasa la saba.
 
Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU

Je unajua siri kwanini BABU SEYA anaozea jela.

Hivi mbunge kama huyu anaweza kweli kuwakilisha wasomi , maprofesa na wafanyabiashara wa mji wa mbeya. Ataongea nini? Ana upeo gani? Ana elimu gani? Hajawahi kuwa hata monita wa darasa au mjumbe wa nyumba 10

Je Livingstone Lusinde ana elimu gani?


Hebu ficha UKILAZA wako.
 
jaman tuwe waungwana kidogo mi naona jazba hazisaidii na huyo mtoa mada ndo uwezo wake wa kufikiri ulipoishia .Mi naona kwa upande wangu cha msingi ni kujibu hoja yake na wala c kumtusi. Napenda kumjibu hiv, katiba haimzuii kuwa mbunge na kama unazungumzia swala la elim tumeona wengi maprofesa na madokta ndo wanaohujum uchum wetu, swala la msingi ni kuangalia anafanya nini na swala la wanawake mbona tunashuhudia weng tu na tena ma dr wanafumaniwa!??
mi nafikiri mleta mada ulikuwa na lako jambo maana umeshindwa kuitetea hoja yko.
 
X Form 4 division 0 anawakilisha mji wa mbeya. Hii zaidi ya utani.
 
Mbunge unaishia kufungua internet cafe moja yenye computer 5. Ndio maendeleo ya mji hayo
 
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU
Arnold Schwarzenegger alikuwa ni mbeba vyuma tu.
Kazi za muziki sio kigezo cha kumfanya mtu asipewe nafasi katika siasa
 
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU

DC+SAIDI+MWAMBUNGU+PIX+NO+2.JPG
 
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU


Lusinde.jpg
 
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU

1738.jpg
 
waziri MULUGO + mbunge MR 2..... maendeleo yakikosekana lawama kwa Kikwete
 
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU

Ukifuatilia sana mambo ya kisiasa yatakuchanganya sana, hujawahi kujiuliza Kikwete aliangalia nini akamuacha Deo Filikunjombe, Luaga Mpina na wengineo wengi akaona Mulugo ndo anafaa??????
 
Ammim or sorry filipo at work,this year mtatapatapa sana tu.....
 
Back
Top Bottom