Mbeya: Mdude Nyagali akataa kuandika Maelezo Kituo cha Polisi, asema atayatoa Mahakamani

Kijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Polisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .

Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .

Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Dikteta Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza Madawa ya kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.

Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea Madawa ya kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia Pua Mahakamani ,

Mdude aliishinda serikali ya ccm Mahakamani , hakuachiwa kwa Msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .

View attachment 2716656
Ulianza vizuri lkn ukaboa baada ya kumtaja Magufuli kama Dictator
 
Dah hawa polisi nao, wangembinya kende zake jamani ili atoe maelezo, I wish ningekuwa polis yaani unampa kibano mpaka analia maaaaaaa halafu unamkanyaga shingoni anakosa hewa kidogo. Yaani hawa mahaini wawabane kweli kweli
NO WONDER WEWE NI CHAWA !!!!!!
 
Nyie wanafiki huwa mnajificha mitandaoni huku mkimchochea Mdude apambane kivyake. Wewe na wenzako wa CHADEMA mnafurahia mateso anayopata Mdude ili myatumie kujiimarisha kisiasa. Mtoto wa Mbowe yuko zake anakula bata ila kwenye harakati kama hizi mnamtanguliza Mdude. CHADEMA mna uovu mwingi sana. Jitazameni kwanza kabla ya kunyooshea wengine vidole
Kwa hiyo ni sahihi ccm kutesa wakosoaji wake? Kwani hii nchi nibya ccm tu?
 
Nyie wanafiki huwa mnajificha mitandaoni huku mkimchochea Mdude apambane kivyake. Wewe na wenzako wa CHADEMA mnafurahia mateso anayopata Mdude ili myatumie kujiimarisha kisiasa. Mtoto wa Mbowe yuko zake anakula bata ila kwenye harakati kama hizi mnamtanguliza Mdude. CHADEMA mna uovu mwingi sana. Jitazameni kwanza kabla ya kunyooshea wengine vidole

..Ccm nayo inatuma Polisi ambao ni watoto wa maskini kuteka na kutesa wapinzani wakati watoto wa Samia, Kikwete, Mwinyi, na Makamba, wanakula bata.

..kwa kifupi Polisi wanapiga wapinzani ili watoto wa vigogo wa Ccm waishi maisha ya anasa na kufuja rasilimali za nchi.

..Juzi tumeona mtoto wa Samia katumwa Uganda kuzungumza na Mzee Museveni kuhusu mradi wa umeme. Pesa za kuwekeza ktk mradi mkubwa hivyo amezitoa wapi? Ghafla namna hii?! Kwanini hakutumwa kushughulika na kina Mdude vijana wenzake?
 
14 August 2023
Dar es Salaam, Tanzania

Wakili msomi Dickson Matata -, Balozi Dr. Wilbrod Peter Slaa agoma kutoa maelezo polisi


Wakili wakujitegemea Dickson Matata anayefuatilia sakata la mteja wake Dr. Wilbroa P. Slaa azungumzia kinachoendelea sasa ..
 
Kijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Polisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .

Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .

Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Hayati Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza dawa za kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.

Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea dawa za kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia pua Mahakamani ,

Mdude aliishinda serikali Mahakamani, hakuachiwa kwa msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .

View attachment 2716656
Kwakweli hata mimi navutiwa sana na watu wa calibre ya akina Mdude, ingawa kuna mahali Mdude anabidi ajirekebishe kwenye ukosoaji wake, hasa matumizi ya lugha za kutweza utu wa mtu kama matusi na kejeli.

Hata hili la kukataa kuandika maelezo yake polisi halijakaa sawa. Kuandika maelezo ya onyo (caution statement) kule polisi ni procedural. Ndio maana Wakili Boniface kaandika.

Ingekuwa wamemlazimisha aandike ambacho hajakifanya, hapo angekuwa sahihi.

Ukweli usemwe bila kujali upande.
 
Viva mdude nyagali tupo pamoja
Mpo pamoja wapi!?😏😏 wewe umejifungia nyuma ya keyboard unavunja vipaja vya kuku na mishkaki unashushia na serengeti bariiidii huko halafu unamdanganya mtoto wa watu eti mpo pamoja mwenzio anapigwa kibaridi mahabusu ana kunya na kukojoa kwenye ndoo 😏😂😂 watanzania kwa unafiki mpo mbele sana
 
Kijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Polisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .

Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .

Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Hayati Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza dawa za kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.

Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea dawa za kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia pua Mahakamani ,

Mdude aliishinda serikali Mahakamani, hakuachiwa kwa msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .

View attachment 2716656
Shujaa kwako siyo kwangu mimi
 
Dah hawa polisi nao, wangembinya kende zake jamani ili atoe maelezo, I wish ningekuwa polis yaani unampa kibano mpaka analia maaaaaaa halafu unamkanyaga shingoni anakosa hewa kidogo. Yaani hawa mahaini wawabane kweli kweli
Kwa mujibu wa sheria
Confession must be voluntarily mkuu
Isiwe na intimidation or force
 
Kijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Polisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .

Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .

Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Hayati Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza dawa za kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.

Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea dawa za kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia pua Mahakamani ,

Mdude aliishinda serikali Mahakamani, hakuachiwa kwa msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .

View attachment 2716656
Mdude hana chakupoteza maana Polisi ameshawazoea😄
 
Sasa wanagoma kula,hayo mapambano yao waliyoyaanzisha yataendeleaje wakiwa wamekufa kwa njaa?waache utoto bana.
Wale sumu yenu ya kiboya 🤣 nani hajui mtindo wenu wa kuwalisha sumu msiowapenda? 😂 Hii imegoma... Hii imegoma!!!
 
Back
Top Bottom