Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,150
- 6,980
Watu wavivu ndio walivyo.Hawataki kazi.Katika watu wabishi,mdude namkubali sana.
Watu wavivu ndio walivyo.Hawataki kazi.Katika watu wabishi,mdude namkubali sana.
Kende umezijuia wapi?Dah hawa polisi nao, wangembinya kende zake jamani ili atoe maelezo, I wish ningekuwa polis yaani unampa kibano mpaka analia maaaaaaa halafu unamkanyaga shingoni anakosa hewa kidogo. Yaani hawa mahaini wawabane kweli kweli
Uvuruge amani halafu,uchekewe.Hakuna nchi hiyo duniani.Wasekwe ndani tu.Nadhani sasa watu wataelewa Kuteka na Kusumbua wapinzani na watu wanaokosoa serikali sio suala la Mtu bali ni serikali nzima inayoongoza kwa wakati huoo..!! Bora hata magufuli alileta maendeleo tukayaonaa ilaa sasa ni hatariii watu wanataka kuuza mpaka bandari tusisemeee..
Umeandika ukweli ,mdude hapiganii siasa na ndio maana hapoi,na Wala humkuti akimsifia mbowe au Lisu ..Huyu ni muumini wa anachokiamini hivyo kumbadili inahitaji akili kubwa tena ukidili nae usimtumilie nguvu km wafanyavyo ccm.Siku JPM aliposhindwa ku deal na Mdude kwasababu Mdude hapiganii siasa bali anachoamini nilijua huyu dogo atasumbua sana.
Hivi we jamaa unao ubongo kweli ?Uvuruge amani halafu,uchekewe.Hakuna nchi hiyo duniani.Wasekwe ndani tu.
Kitendo tu cha kukataa kutoa maelezo mbele ya polisi kinaonesha sio muoga na hawaogopi.Mbona anaogopa Polisi.Kama ni.mzalendo kweli,hatoi maelezo.
Mungi ninini?Amen
Ni mimi unaniquote au umeshalewa asubuhi hii?Bora ungeacha kuandika kuficha upumbavu wako!
Kwahiyo Kabla hajamnyoa mama yetu kipenzi ananyolewa yeye kwanzaKijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Polisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .
Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .
Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Dikteta Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza Madawa ya kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.
Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea Madawa ya kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia Pua Mahakamani ,
Mdude aliishinda serikali ya ccm Mahakamani , hakuachiwa kwa Msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .
View attachment 2716656
Halafu wakamchia au wako naye?Kijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Polisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .
Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .
Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Dikteta Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza Madawa ya kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.
Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea Madawa ya kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia Pua Mahakamani ,
Mdude aliishinda serikali ya ccm Mahakamani , hakuachiwa kwa Msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .
View attachment 2716656
Historia ya nchi jirani ya Zambia inaenda kujirudia kwa Chama kongwe dola CCMthe author warns President Sata against the wanton persecution of opposition political leaders as well as the intimidation of his own PF members.
Hili likukute wewe na jamaa zako Kwa Jina La Yesu Kristo Amen.🤣🤣🤣🤣
Mwenyewe nimeshangaa anaongea njni huyu!!!!
Huyo nyumbu kateswa na nani? Lini?!!! Hakuna aliyeamua kumtesa mpaka sasa; mnaambizana ujinga tu. Siku wakiamua kumtesa huyo hatosikika tena, tena watu namna hiyo unawatesa kisaikolojia tu kwisha habari yake........unamvisha gauni na kumpaka shedo, wanna, kipini, hereni n.k kisha unamtupia ndani waliko wafungwa wa maisha walioshindikana kwa masaa kadhaa tu. Akitoka huko ataamkia kila mtu, shenzy zake!!
Hajateswa, hakuna mwenye mpango wa kumtesa. Acheni kuhubiri chuki.Hili likukute wewe na jamaa zako Kwa Jina La Yesu Kristo Amen.
Hakuna kupona hapo mkuu, kama watu wanatekwa tena kwa kufuatwa nyumbani, mtu yupo safarini unamkamata na kumfungulia kesi ya uhaini unasema nchi inapona!!!.Hivi bado tu huoni nchi inaelekea kwenye kupona, au wewe unaangalia wapi mkuu?
Haya unayoyaona sasa ndiko kupona huko, jiandae tu karibuni nchi hii inakuwa huru kabisa.
Msio na ubongo ni nyinyi mnayemchokoza msiyemuweza.Hivi we jamaa unao ubongo kweli ?
Anawaogopa Polisi.Usiyemuweza usimchokoze.Kitendo tu cha kukataa kutoa maelezo mbele ya polisi kinaonesha sio muoga na hawaogopi.
yaani mdude anajitakjiaga matatizo mwenmyewe mtu hata sheria hajui anajifananisha na watu wanaojuwa sheria anayeteseka ni yeye nyie mkekaa nyuma ya keyboard mnampa moyo tanzania badoi haijaweza kuwa na watu kama hao wanaotetea ujinga kama mdude endeleeni kumsifia mwenzenu anatyeseka hukoKijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Polisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .
Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .
Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Dikteta Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza Madawa ya kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.
Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea Madawa ya kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia Pua Mahakamani ,
Mdude aliishinda serikali ya ccm Mahakamani , hakuachiwa kwa Msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .
View attachment 2716656
magu hajafa kwa sara zenu za kinafiki ni ahadi ya mungu sasa mwacheni mdude aendeelee kuukalia hukoHakuna mateso ambayo Mdude hakupitia , halafu karibu wote waliomtesa wamekufa , akiwemo Magufuli , Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Dah hawa polisi nao, wangembinya kende zake jamani ili atoe maelezo, I wish ningekuwa polis yaani unampa kibano mpaka analia maaaaaaa halafu unamkanyaga shingoni anakosa hewa kidogo. Yaani hawa mahaini wawabane kweli kweli
Bado hatujapata kiongozi siyo Magufuli wala Samia wote hawafaiNiyaonapo yote haya navuta picha wakati ule Mzee baba JPM kafariki watu walivyokuwa wanashangilia, kuchinja na kusema sasa haueni inakuja sababu kasepa zake.
Nilisimama na naendelea kusimamia kauli ya usishangilie wakati hujavuka mto, haya leo yako wapi na zile shangwe zenu, ooh bora kafa, ooh nchi imepona!.