Mbeya: Matambiko ya Wazee ya kuzia ajali yanaendelea

Mbeya: Matambiko ya Wazee ya kuzia ajali yanaendelea

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,486
Foleni kubwa barabara kuu ya mlima nyoka (Mbeya), sababu ikiwa ni kamati ya ulinzi na usalama mkoa Mbeya ilikuwa kufanya MATAMBIKO na MACHIFU ili kuepisha ajali.

Je, hii ndo njia sahihi ya kuzuia ajali?

Habari zaidi, soma=>Tatizo la ajali Mbeya haliwezi kumalizwa na Polisi pekee, washirikisheni Wazee
Dh0syrBXUAEsAR3.jpg
Dh0su77WkAAjOV8.jpg
 
Enyi watu wambeya kuweka mbele uchawi na ushirikina? Kila siku ninyi ni watu wa matukio. Badirikeni
 
Ndio njia tuliochagua tufanyaje sasa kama mtu huwezi kukarabati miundombinu yako unataka miujiza ya ajali zisiwepo hii ni hatari
 
Machifu wa zaman unakuta nje kavaa kanik kama hvy ndan mkanda wa ngozi asili ya simba na hirizi, hao utakuta katupia pensi ya DICKIES mkanda wa LEVIS (LV) au CALVIN KLEY (CK) na mfukoni simu inaita anadaiwa na YONO
 
Watoto wa waliokuwa wamekwama mapangoni, mliona maombi ya kila aina yalifanyika walahi
 
Machifu wa zaman unakuta nje kavaa kanik kama hvy ndan mkanda wa ngozi asili ya simba na hirizi, hao utakuta katupia pensi ya DICKIES mkanda wa LEVIS (LV) au CALVIN KLEY (CK) na mfukoni simu inaita.
Hahahaha
 
Machifu wa zaman unakuta nje kavaa kanik kama hvy ndan mkanda wa ngozi asili ya simba na hirizi, hao utakuta katupia pensi ya DICKIES mkanda wa LEVIS (LV) au CALVIN KLEY (CK) na mfukoni simu inaita.


Na usishangae jana kalala na kimada leo anaamkia tambiko
 
Imani yako ndiyo itakayo kuponya, that’s all
 
Kuna mambo huwa yakizid lazma utafute plan b
 
Izo ajali ziwe nakishetan... Hayo matambiko sijui na mizimu niushetan tu uleule.

Sasa nani wakushinda mwenzake???? Tafuten kwaya ,waimba injili, wachungaji,maaskofu na mashehe waendeee .

Alafu jana nmesikia watu wadini..leo wamatambiko.

Nawambien huu mwezi hautoisha bila ajali kutokea.
 
Badala tutafute suluhisho la kisayansi ktk kuzuia vifo hivi, sisi tunakwenda na ndumba! Unbelievable! 21st sisi bado tunaendekeza ungese wa ndumba!
 
"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa" - Hosea 4: 6(a).
Kwani wanachokifanya hao kina tofauti gani na kile wakristo na waislam wanachokifanya wanakusanyika uwanja wa Taifa na kuombea mvua,amani etc
 
Machifu wa zaman unakuta nje kavaa kanik kama hvy ndan mkanda wa ngozi asili ya simba na hirizi, hao utakuta katupia pensi ya DICKIES mkanda wa LEVIS (LV) au CALVIN KLEY (CK) na mfukoni simu inaita anadaiwa na YONO
Ha ha haa
 
Back
Top Bottom