Msomi ni Nani? Majimbo mawili ya mkoa wa mbeya yalikuwa yanaongozwa na wabunge wasomi yaani maprofesa! Hebu tutajie maendeleo yaliyopo Jimbo la rungwe na kyela!Kwa Sasa tunahitaji Mbunge Msomi wa kutuletea maendeleo jimboni. Vurugu, maandamano na kufokafoka si maendeleo.
Kila la heri watia nia.