Mbeya long time kitambo

Hakuingizwa kwenye maajabu ya soka kwenye record za Fifa?
 
kwa wale msiomfahamu huyu ndiye dereva mkongwe wa mabasi Giriki
Mwaka 1999/y2k nilifanya nae kazi kampuni ya TIOT Tabata boss akiwa Sahau Kambi chini ya Meleh Barabou.Jamaa ni mpole sana huyu.

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Mwaka 1999/y2k nilifanya nae kazi kampuni ya TIOT Tabata boss akiwa Sahau Kambi chini ya Meleh Barabou.Jamaa ni mpole sana huyu.

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Anavuta bangi?
 
Masela was mbeya inasemekana ! wamevamia Ubongo?
Ni kweli, wengi utawakuta Ubungo terminal,Oilcom petrol station Ubungo na makazi yao wakati fulani yalikuwa chini ya daraja pale Ubungo Mandela road
 
Masela was mbeya inasemekana ! wamevamia Ubongo?
Kipindi cha karibuni wameanza kuimarika kiasi kwenye biashara ndogo ndogo na wengine kwenye ujuzi mbalimbali ila kwa kipindi chote sijawahi kuwaona kwenye madawa au unyanganyi stand.
 
Naikumbuka KWACHA GUEST HOUSE pale Makunguru, kilikuwa kiwanja changu cha kwanza kucheza game la away siku hiyo ilikuwa hakuna kulala na taa ilikuwa mshumaa@1997

Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
 
twambombo.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi cha karibuni wameanza kuimarika kiasi kwenye biashara ndogo ndogo na wengine kwenye ujuzi mbalimbali ila kwa kipindi chote sijawahi kuwaona kwenye madawa au unyanganyi stand.



Katika sekta hizo nazani wana nidhamu kiasi chake.


Bila shaka hawana hulka ya uvivu.
 
Kipindi hicho yosso unaanzia uzunguni kwa samata kabla yakwenda uwanja ngoma,lubeni masoksi alifungiwa maisha kucheza kwa samata

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 

Hahahahahahahahaah Mbeya kwetu raha sana
 
Miaka ile kulikua na mzunguko unaitwa kapusi ulirudi nyuma nyuma mlima meta likapata ajali

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…