Tatizo lao hawa CCM hawataki kuwasikiliza na kufata ushauri wa Chadema,haya majimbo ya chadema watu wameelekezwa sana haki zao na siku soko la Sido lilipoungua hapa Mbeya, mda si mrefu Mh sugu na Mbowe walifika na kuongea na wananchi na kuwapa pole na kuwaelekeza haki zao.
Sasa cha kushangaza mpaka muda hu mabomu yanaendelea na machinga na vijana wengine wameungana kupambana polisi wanaimba peoples power hali ni hatari ndugu zangu mi nipo huku maeneo ya oil com, na nawa maji usoni, na tangia jana hawa vijana walikuwa na hamu na mandamano ya Chadema!