Umefurahi?Marufuku maandamano.
Huo n utaratibu wa kawaida ili kuthibitisha kwamba taratibu zote sahihi zimefuatwa.Kwa hivyo?
Unaandaa barua kwenda kwa Waziri. Hii ni sawa unamwambia Hamas aende kwa Biden akaombe chakula.
Dahhhh?
Ndugu zangu majira ya asubuhi leo 3rd November 2023 tukiwa katika mkutano wetu na waandishi wa habari tulivamiwa na kukamatwa na askari kadhaa wakiongozwa na Kamishina msaidizi wa jeshi la polisi kutoka ofisi ya RPC Mbeya. Askari hao walitukamata sisi pamoja na waandishi wa habari tuliokuwa nao katika press conference.
Masaa matano baada ya kushikiliwa tuliitwa ofisi kwa RPC kwamba tulikamatwa ili tupewe barua ya inayotuzuia kuandamana kwa amani tarehe 9 Nov 2023.
RPC alidai kuwa OCD hajui tunapopatikana ili atuletee barua ya majibu ya maandamano hayo hivyo ikalazimika tukamatwe ili tupewe barua ijapo OCD huyo alikuwepo wakati wa ukamataji wetu.
Kwa sasa tupo tunaandaa barua ya rufaa kwenda kwa waziri wa mambo ya ndani kupinga zuio haram la OCD na baada ya hapo tutatoa tamko rasmi.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
View attachment 2802412
Kwa hivyo?
Unaandaa barua kwenda kwa Waziri. Hii ni sawa unamwambia Hamas aende kwa Biden akaombe chakula.
Dahhhh?
Taratibu ni kwenda mahakamani, sio barua kwa waziri, jkifika kwa waziri hiyo barua ataichoma moto halafu ajikalie kimya.
Hizi nguvu mnazo zitumia kufanya harakati na mpaka Leo sijajua ni nini mnacho kipambania......
At least 😇 mngekua mnaelekeza hizi nguvu kumobilise vijana kujikomboa ki uchumi na maendeleo ki ujumla....
R.i.p Alphonce mawazo pumzika Kwa amani brother
Mnampelekea barua kwa anayejua ni nini waliliagiza jeshi la polisi!
Nendeni mahakamani
Hapana leta fujo,
ha kuna ruhusa ya hizo mafujo zako
Hawana sababu ya kutowa sababu.
Hawana sababu ya kutowa sababu.
Aisee nimeipenda hii Slogan "Sumu ya Nyigu"😆😂Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
Tuondoshee ujinga wa maandamano.
Hizo pesa unazochangiwa ungeanzisha miradi vijana wapate kazi za kufanya.
Nchi ya mama yako?Marufuku maandamano.
hao wapuuzi hawana kazi ya kufanya, wakaandamane na wake zao
Nimeuliza,acha kiherehere,tusi liko wapi hapo!?..au hujui utaratibu wa mahabusu?!Punguza matusi, sio kila sehemu ni kutukana tu.
Badala ya maandamano ambayo hayawasaidii lolote changamkieni fursa.
Tazama Mtanzania huyu:
View attachment 2802618
Nimeuliza,acha kiherehere,tusi liko wapi hapo!?..au hujui utaratibu wa mahabusu?!
Uzi uko hapa ili iweje!?Kiherehere unacho wewe, unauliza Kama nani?. Huoni aibu na haya?.