Mbeya derby:Prison vs Mbeya City

Mbeya derby:Prison vs Mbeya City

Jamani kwa mliopo nje ya mbeya hali ni ya garari hii ni zaidi ya simba na yanga hofu yangu ni usalama wa leo , wanausalama wawe makini watu nnje ni wengi na uwanja ushajaaa ,, mungu wangu
 
timu zote zimeshamaliza warm zimeingia ndani kubadilsha tayari kurejea kwa matanange,kama kutakuwa na delay ya updates mtanisamehe maana mtandao kidogo unazingua.

Uwanja umepata watu wa kurosha na bado watu wanazidi kuingia,jukwaa la Tz Prison liko wazi kabisa ila jukwaa/upande wa Mbeya city wamejaa kwelikweli,hamasa ni kubwa na wanashangila sana.
 
Jamani kwa mliopo nje ya mbeya hali ni ya garari hii ni zaidi ya simba na yanga hofu yangu ni usalama wa leo , wanausalama wawe makini watu nnje ni wengi na uwanja ushajaaa ,, mungu wangu

usiwe na hofu mambo yatakuwa sawa tu.
 
Ushindi wa Mbeya city nikama wa Azam tu. Mbeya city shindeni mechi hiyo, mwaka wetu huu.
 
mechi hii ni zaidi ya Yanga Simba,full burudani
 
Hali ya hatari hapa jamani jeshi la polisi wawe makini kwa usalama wetu hii hali inatisha ni hatari mno
 
timu zinatoka vyumbani tayari kuanza mtanange huu
 
mkuu saitoti usitishe watu mbona hali ipo shwari kabisa
 
prison wanaanza kwa kulishambulia lango la McC FC
 
prison wanapata kona ya kwanza,lakini inatoka nje
 
nafuatilia kwa umakini hii mechi shukurani mkuu Nakapanya:ranger:
 
Last edited by a moderator:
Kwa kichapo cha jana leo nawaombea MCC ushindi ingawa Jangwan wanaongoza huku
 
Back
Top Bottom