amanindoyella
Senior Member
- Oct 13, 2009
- 104
- 9
Poleni kwa janga hilo la moto!
wanaroga mno hao
Kusema wanaroga sana ni kufanya fikra zidumae na kuepuka kutafuta chanzo. Sitegemei kama Mbeya ni wachawi dunia nzima, kiasi kwamba uchawi wao tu ndio uchome masoko. Kwanza shetani ni yuleyule, hivyo hakuna sehemu ambayo itakuwa na wachawi wa kutisha kuliko sehemu nyingine. Hapa kuna kitu, naamini Mbeya kuna watu specialist wa kuchoma masoko. Ni kama deal fulani...wanaroga mno hao
Kusema wanaroga sana ni kufanya fikra zidumae na kuepuka kutafuta chanzo. Sitegemei kama Mbeya ni wachawi dunia nzima, kiasi kwamba uchawi wao tu ndio uchome masoko. Kwanza shetani ni yuleyule, hivyo hakuna sehemu ambayo itakuwa na wachawi wa kutisha kuliko sehemu nyingine. Hapa kuna kitu, naamini Mbeya kuna watu specialist wa kuchoma masoko. Ni kama deal fulani...