[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahhaha acha tu.... Nataka kufunga akaunti mwenzio humu kumenishindaaaHahaha yaani humu ni stress free zone
Sizini nina mke...1. Jifunze kutumia kondomu.
2. Subiri Umri wako ukuruhusu ndio uanze Ngono zembe na utaacha kuuliza pumba.
3. UKIMWI UPO, GONO LIPO, HOMA YA INI NDIO BWELELEEE UNAIKWAA.
Tulia Bw.Mdogo
Ungemshauri aangalie bongo movies, wote hawachafuagi shuka, na wana staili moja tu, ya kifo cha mende [emoji1322][emoji1322][emoji1322]Inategemea umemwagia hizo mbegu ukiwa umemkunja katika mkao upi...
Kuna mikao mengine ukimuweka mbegu hutoka, kuna mikao mengine huoni hata tone, zote zinapotelea humo humo...
Cc: mahondaw
Ahahahah we jamaa bwana.1. Jifunze kutumia kondomu.
2. Subiri Umri wako ukuruhusu ndio uanze Ngono zembe na utaacha kuuliza pumba.
3. UKIMWI UPO, GONO LIPO, HOMA YA INI NDIO BWELELEEE UNAIKWAA.
Tulia Bw.Mdogo
Naomba kufahamishwa wakati wa kugegedana...alafu ghafla mkakutana wote mnavunja yai pamoja...
Pale kuna tendency ya kung'ang'aniana kiasi kwamba hamtaki zile zana ziachiane...lakini baadae mkiachiana mbegu ulizomwagia ndani...zinaanza kutoka nje ya chungu...
Je ni mimi tu au hata ninyi wana ndugu...maana naona akibaki nazo pale kitandani zitatapakaa kwenye shuka...au wenzangu mbegu mkizimiminia huku huwa hazitoki...?
Kuuliza sio ujinga jamani...
Nina mtoto tena wa kiume...na wanaofuata ni mapacha Inshaa Allah...nina mbegu nzito Mashaa Allah...usidhani matatizo uliyo nayo tuwe nayo wote...Una mbegu nyepesi inabid ule vyakula vya kuongeza mbegu ziwe nzito