Kwanza Mungu hapendi uchafu huu, pili dini zetu zinazuia sana mambo haya.
heheheeeee. Umewahi kujaribu nini?mshauri awe ananywea chapati!
Hivi kuna chochote kitokacho kwa mwanaume kilicho kisafi kuliko 'mbegu za kiume'?
Na ni dawa ya vidonda vya tumbo.
Yote sawa lakini hapa penye kulamba chumvi pagumu kidogokama afya yako ni mgogoro kuna uwezekano wa kumuambukiza hepatitis,kama huna tatizo(baada ya kuchekiwa) na wote mnapenda basi awe anazikusanya mdomoni ukimaliza anatema na kusukutua na mouthwash.Nawe pia unalamba chumvi ? sio mambo ya utumwa ?
LOL ...............ukitizama kwenye end point kuwa anapatikana mtoto basi hakuna kitu kisafi na bora kama hicho. :]
Lakini jee ukiona imemtapakaa mtu kwenye suruali, utauita uchafu au usafi?
Can you prove this?Zinapunguza uzito
Zinashusha blood presure
Zina ng'arisha ngozi
Zinatoa chunusi usoni
Zinaongeza hamu ya chakula.
Kunywa utapona invisible.Can you prove this?
habari wanajf?,nitangulize shukran zangu kwa wanajamvi wote kwa michango yenu yenye kuelimisha sana.
Kwangu mimi jf ni zaidi ya darasa tena la bure kbs...
Ok mi naomba kusaidia kujua madhara/na faida atakazopata mtu atakayemeza mbegu za kiume.
mmmh! Dini haipendi uchafu.Nawauliza watu wa vitabu Wakristo, Waislam na Wayahudi, dini zenu zinasemaje kuhusu masuala haya?