Bado ni Ifunda pale kama sijakosea.Kwa Mtanga siyo?Aende pale Kisolanza Farm Mafinga wapo kibao!
Jaribu pale MATI Nyegezi Mwanza. Nilisoma shule ya kilimo Mwanza, na tulikuwa tunakwenda MATI na kuwakuta wako pale. Actually walikuwa wanawapata kwa kufanya Arficial Insemination kati ya giant breed ya Ng'ombne na Nyati. Sikumubki vizuri nadhani walikuwa wanatumia Nyati hawa wa kufugwa. In anyway, walikuwa wanapandikiza Nyati na Ng'ombe yule mkubwa mwenye afya nzrui; dume linakuwa ni Nyati