The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,853
Wengi wetu tunafahamu wakazi wengi hasa kule kunakopikwa sana mbege wanamiguu miembamba, hasa kina dada.
Utafiti Mdogo nilioufanya, wadada wengi waliozaliwa huko kwenye mbege na wakaitumia mbege kwa muda mrefu wengi wao wana miguu midogo kuliko, wale ambao asili yao ni huko huko lakini walizaliwa mjini (Dar, Mwanza etc) Na hawakutumia mbege kabisa.
Hitimisho: Mbege ndio sources ya miguu midogo kwa wadada wanaotoka maeneo yenye mbege.
Utafiti Mdogo nilioufanya, wadada wengi waliozaliwa huko kwenye mbege na wakaitumia mbege kwa muda mrefu wengi wao wana miguu midogo kuliko, wale ambao asili yao ni huko huko lakini walizaliwa mjini (Dar, Mwanza etc) Na hawakutumia mbege kabisa.
Hitimisho: Mbege ndio sources ya miguu midogo kwa wadada wanaotoka maeneo yenye mbege.

