Mbatia,yupo chuo kikuu SAUT anatoa mada

Mbatia,yupo chuo kikuu SAUT anatoa mada

oneblood

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2011
Posts
244
Reaction score
51
wakuu nipo ndani ya viunga vya chuo kikuu SAUT ndani ya ukumbi wa m13 ,ambapo kuna kongamano la Mambo ya afya ,ukimwi na vijana wasomi ,kongamano ambalo limeandaliwa chini ya uratibu wa rais wa chuo hicho mwaka janana katibu mwenezi wa CDM SAUT mwaka juzi kamanda Godlisten Malisa,mbali na Mbatia watoa mada wengine wakuu walipaswa kuwa waziri wa afya Hussein Mwinyi na mbunge Machali bt wameingia mitini,stay tuned nitawajuza zaidi
 
Mwenyekiti WA chama cha NCCR-Mageuzi Leo yupo chuo kikuu cha Mt.Augustino(SAUT-Mwanza) katika kongamano la Maambukizi ya VVU NA UKIMWI kwa wanafunzi WA elimu ya juu, kikubwa alichosema ni umaskini wetu ndio unaosababisha kupata UKIMWI pamoja NA mfumo mbovu WA elimu unaosababisha vijana kuiga mambo ya nje NA kuacha tamaduni zao. Maswali mengi yameulizwa. Nawasilisha.
 

Attachments

  • 20131019_114652.jpg
    20131019_114652.jpg
    201.1 KB · Views: 115
  • 20131019_114628.jpg
    20131019_114628.jpg
    241.4 KB · Views: 110
Back
Top Bottom