Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
Artist: Mbaraka Mwinshehe
Song : Shida
(instrumental)
Hakuna kitu kibaya humu duniani kama shida,
haichagui mtu, siku,mwana,mwaka,
Haina katu taarifa, shida huingia,
shida bila hodi, si mtoto wala mkubwa, shida o-o
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho,
(Instrumental)
Shida kamwe haikosekani, hadi siku ya harusi,
Na uwe na mapesa mengi, ipo shida o-o,
Haina ngoja, au haina popote shida hutokeza,
Kwa masikini, matajiri wote shida,
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho,
(Instrumental)
Hakuna kitu kibaya humu duniani kama shida, haichagui mtu, siku,mwana,mwaka,
Haina katu taarifa, shida huingia, shida bila hodi, si mtoto wala mkubwa, shida o-o
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho-o-o,
(Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
Kila siku shida, o-o shida, o-o shida,
Mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
Na uwe na mapesa mengi, o-o shida,
Kwa masikini, matajiri, o-o shida,
Shida mahali popote hutokeza, o-o shida,
Ndungu kila siku hauna pesa, o-o shida,
Mama a-a-o, o-o shida,
Baba a-a-o, o-o shida,
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
( Instrumental)
(Shida haina ngoja ngoja, shida haikosekani, shida popote hutokeza, ukizama shida,
Hukukujia siku hauna pesa kabisa, uwe na mapesa mingi taaabu, uwe fukara shida ndio kabisa, shida kitu cha ajabu sana, mpaka siku ya mwisho iko shida, shida)
( Instrumental)
(shida haimujui mtu, wala siku, wala mwaka, shida hutokea ghafla, kitu kibaya ahida)
( Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
Kila siku shida, o-o shida, o-o shida,
Mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
Na uwe na mapesa mengi, o-o shida,
Kwa masikini, matajiri, o-o shida,
Shida mahali popote hutokeza, o-o shida,
Ndungu kila siku hauna pesa, o-o shida,
Mama a-a-o, o-o shida,
Baba a-a-o, o-o shida,
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
( Instrumental)
(oh oh shida, haijui serekali)
( Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
o-o shida, o-o shida,
shida mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
na uwe na pesa mingi, o-o shida,
masikini matajiri, o-o shida,
shida utokeza mahali popote, o-o shida,
uwe hauna pesa, o-o shida,
( Instrumental)
Song : Shida
(instrumental)
Hakuna kitu kibaya humu duniani kama shida,
haichagui mtu, siku,mwana,mwaka,
Haina katu taarifa, shida huingia,
shida bila hodi, si mtoto wala mkubwa, shida o-o
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho,
(Instrumental)
Shida kamwe haikosekani, hadi siku ya harusi,
Na uwe na mapesa mengi, ipo shida o-o,
Haina ngoja, au haina popote shida hutokeza,
Kwa masikini, matajiri wote shida,
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho,
(Instrumental)
Hakuna kitu kibaya humu duniani kama shida, haichagui mtu, siku,mwana,mwaka,
Haina katu taarifa, shida huingia, shida bila hodi, si mtoto wala mkubwa, shida o-o
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho-o-o,
(Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
Kila siku shida, o-o shida, o-o shida,
Mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
Na uwe na mapesa mengi, o-o shida,
Kwa masikini, matajiri, o-o shida,
Shida mahali popote hutokeza, o-o shida,
Ndungu kila siku hauna pesa, o-o shida,
Mama a-a-o, o-o shida,
Baba a-a-o, o-o shida,
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
( Instrumental)
(Shida haina ngoja ngoja, shida haikosekani, shida popote hutokeza, ukizama shida,
Hukukujia siku hauna pesa kabisa, uwe na mapesa mingi taaabu, uwe fukara shida ndio kabisa, shida kitu cha ajabu sana, mpaka siku ya mwisho iko shida, shida)
( Instrumental)
(shida haimujui mtu, wala siku, wala mwaka, shida hutokea ghafla, kitu kibaya ahida)
( Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
Kila siku shida, o-o shida, o-o shida,
Mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
Na uwe na mapesa mengi, o-o shida,
Kwa masikini, matajiri, o-o shida,
Shida mahali popote hutokeza, o-o shida,
Ndungu kila siku hauna pesa, o-o shida,
Mama a-a-o, o-o shida,
Baba a-a-o, o-o shida,
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
( Instrumental)
(oh oh shida, haijui serekali)
( Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
o-o shida, o-o shida,
shida mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
na uwe na pesa mingi, o-o shida,
masikini matajiri, o-o shida,
shida utokeza mahali popote, o-o shida,
uwe hauna pesa, o-o shida,
( Instrumental)
