Mbappe kanitekea demu wangu

Ndiooo maanaa tunaliwagaaa kimasiharaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃMnakulana sio kuliwa tuu .hii kitu Huwa ni kulana kimasihara tuuu .
 
Mr Singasinga au mkeo mwenyewe atakuwa Chakorii nini? Maana humwambii kitu kwa mbape asee!!
Kuna sehemu kaandika mwanamke wake anaanzia na M sasa mimi ninaanzia na C

Na ninauhakika kama ningekuwa na mume basi ile siku kama sio kuachika basi asubuhi Yake kuna baadhi ya meno yangetoweka kinywani kaka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hapa ndio mjue hawapendi hela wanapenda status. Yaani huyo dogo akija bongo atawakula mademu zenu wote mnaojifanya mnahudumia. Tena atakuomba hata nauli japo akaliwe tu na mbape ujue.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ