Mbao za kupaua zinahitajika Dar

Mbao za kupaua zinahitajika Dar

abudist

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2009
Posts
856
Reaction score
788
Naitaji mbao treated nyingi za;

  1. 2 x 2 = 280 pcs ndefu
  2. 4 x 2 = 305 pcs
  3. 1 x 10 = 18 Fascia Board

Zinahitajika ndefu kwenye futi 18 au zaidi. Natafuta zenye bei nzuri sana sababu nahitaji nyingi. Na hiyo ndiyo sababu ya ku-post kwenye forum hii. Vinginevyo najua wapi kununua zenye bei ya kawaida ya sokoni.

Ukiwasiliana na mimi nitumie pamoja na bei zako.
 
Buguruni wajanja wengi. Uwe makini na futi zao huwa zimekatwa kwa mbele, kwa hiyo hazisomi actual urefu wa mbao.Especially uko insist kwenye kupunguziwa bei.

Kuna mpemba yupo Tegeta Jirani na wire za zinazotoka Tegeta Escrow kwenda Zanzibar.Yeye vijana wake hawana tabia hiyo na haruhusu vishoka Dukani kwake.
 
Acha mkwara Kama vp kanunue kwenye Hiyo bei ya kawaida,wakuuzie bei rahisi kwani uliwasaidia kuipanda mafinga?
 
Hiyo bei ya kawaida ni bei gani, nawe unapenda uuziwe kwa bei gani?
 
Acha mkwara Kama vp kanunue kwenye Hiyo bei ya kawaida,wakuuzie bei rahisi kwani uliwasaidia kuipanda mafinga?

Mkuu kwani wewe unaishi dunia gani? Hujui bargain wewe kuwa ni kitu cha kawaida kwenye biashara? Mtu anayefanya biashara huwa afikirii kama wewe. Sababu anaweza kuwa na stock ya zamani anataiishe ili alete mpya, au anaweza kutaka kuuza kwa wingi ili apate faida kiasi mzigo uishe, kuliko kung'ang'ania bei moja na kuuza kidogo kidogo. Na sababu zingine kadhaa!! I'm sure you don't have much knowledge how the business is usual done.
 
Wakuu wote mliochangia ushauri nakushukuruni. Taenda na futi yangu nilishafanya hivyo hata kwenye miradi iliyopita.
 
Buguruni unaweza kupata kwa bei nzuri mbona ft1 kwa 700
 
Naitaji mbao treated nyingi za;

  1. 2 x 2 = 280 pcs ndefu
  2. 4 x 2 = 305 pcs
  3. 1 x 10 = 18 Fascia Board

Zinahitajika ndefu kwenye futi 18 au zaidi. Natafuta zenye bei nzuri sana sababu nahitaji nyingi. Na hiyo ndiyo sababu ya ku-post kwenye forum hii. Vinginevyo najua wapi kununua zenye bei ya kawaida ya sokoni.

Ukiwasiliana na mimi nitumie pamoja na bei zako.

Mkuu nikuuzie hizo kwenye namba 1&2 kutoka Mafinga!
 
Back
Top Bottom