Mbabe wa dunia yote US atuma meli za kivita 2 huko Taiwan. Ole wake mtu akohoe cha moto atakiona

Marekani now days simuelewi. Anaingilia migogoro, anaichokonoaaa moto ukiwaka anakaa pembeni.

Taiwan asimuamini na kumtegemea US
ukiona MAREKANI anaivimbia nchi kujifanya anaitetea basi jua kaweka kiongozi wake au anataka kumtoa huyo aliyopo amuweke anayemtaka
kamwe hawezi kupeleka jeshi na "VYUMA CHAKAVU" katika nchi amabyo anajua hawamsupport kwa mtindo wa kukifanya anaitetea
7bu kuu mi muoga anaogopa VITA anaogopa kuchapika anajua fika bila msaada wa kiongozi wa hiyo nchi au rebel wa hiyo nchi hawezi kutoboa
MWANAUME pekee anayeweza peleka Moto popote pale anayepiga Nje ndani bila kuhitaji msaada wa mtu yoyote
nadhani muulize Bwana Utam atakuambia nani huyo jamaa
 
China Russia and oil producing countries are great threat to US economy
–the death of money –
 
Mbabe wa dunia yote nchi kubwa inayoogopeka na kila nchi duniani imetu.a meli 2 za kivita huko Taiwan. Na katika ujumbe wao wameonya ole wao China ijaribu kurusha kombora wataita maji mma!

Na wamesema watazidi kuleta vifaa zaidi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuipoteza china kwenye uso wa dunia. Hongereni sana marekani dunia inawategemea kutukomboa!

View attachment 2337238
Sasa wewe nae unakombolewa wapi? Matozo yamekuchanganya mpaka unajihisi Mtaiwan
 
Ni kwanini hajatuma hizo meli?
Marekani alisema China ikivamia Taiwan itaingia na kuisaidia Taiwan, tofauti na Ukraine ilisema haitaki kupigana direct war na Urusi. In short Tz huku hiyo vita kati ya US na China, tunaomba isitokee itatutesa sana.
 
Marekani alisema China ikivamia Taiwan itaingia na kuisaidia Taiwan, tofauti na Ukraine ilisema haitaki kupigana direct war na Urusi. In short Tz huku hiyo vita kati ya US na China, tunaomba isitokee itatutesa sana.
Ni kwanini hataki kupigana na Urusi ila yuko tayari kupigana na China?
 
Back
Top Bottom