JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,328
Hio M5 inakula speedcars zote za kwenye class yake with Twin turbo 4.4 V8 ila sio huyo 540i ambaye hana maajabu sana ana 335HP na mwenzie 520i ana 248HP!
Kumekucha
Hio M5 inakula speedcars zote za kwenye class yake with Twin turbo 4.4 V8 ila sio huyo 540i ambaye hana maajabu sana ana 335HP na mwenzie 520i ana 248HP!
Ye anataka 3.0L TFSISBT nimeona 2.0 TFSI ina 44,000km bila wakina Zakayo kuweka mkono inataka Kam USD 14500.
Nissan yoyote kwenye mwinuko au milimani hakuna kitu advantage ya Nissan ni kwenye Tambalale na miteremkoUzalishaji wake ulianza 2005 Hadi 2009 si mwingine mbali ni mnyama WA barabarani nissani fuga GT 450 popote apitapo maajabu yake yanasimuliwa mpaka Kwa majirani huku kukiwa na matokeo matatu
GT 250
GT 350
GT 450
Ukilipata hili GT 450 sports version vita yake si ya kitoto barabarani
Scirocco R 😀😀😀Inabidi uvute VW Scirocco ingekufaa Zaidi au ulifanyia tathimini ukaipiga chini.
335HP za mzungu, Fuga anaweka wapi hapo mguuu ? hapa bongo ukiwa na mdudu anacheua hizo 335HP unakuwa mbabe sanaa tu hasa kisaani kinaenda hadi 280kmhHio M5 inakula speedcars zote za kwenye class yake with Twin turbo 4.4 V8 ila sio huyo 540i ambaye hana maajabu sana ana 335HP na mwenzie 520i ana 248HP!
😀😀😀😀 Lockheed Martin eeh! Nataka chombo ya mzungu ina 6 cyl, cc kuanzia 3000+, plus twin turbo mzeeeHoly Man achana na Audi ya nini?
Chukua F30 ya 2013 tu. Hafu uzuri wa F series zote ni turbo, huna haja ya kuchukua cc3000 maana Wajerumani washafanya yao, cc2000 tu mziki wake hauguswi na mjapan wa cc3500.
Mfano, 2013 BMW F30 320 N20 yenye cyl 4 inakutosha kabisa.
Ila Miraba apo kasema kama unataka 6 cyl hapo ni N55, S55 au 58 zote izo 3000cc petroleum.
Ndani F30 ni kama cockpit ya Lockheed Martin F22 Raptor.
Muhimu leo na hiki kibaridiNissan hapo katuliza akili.
Nimekucheki pm Kuna ishu ya kuipuliza
Mjapana anaetaka fanana na mzungu 😀😀😀Nissan hapo katuliza akili.
Nimekucheki pm Kuna ishu ya kuipuliza
Nitapuliza hadi wabungeee 😀😀😀😄😄Na utawapuliza kichizi,Kama yule Mbunge Musukuma analo la 2008 huko na ameliweka jina lake KING M na mpulizo Kule kwa wasukuma Ni Kama kawa,ukiweka Hilo LC00 utawauaaaaa.
Unataka kutufanyaje wazee wa VVT-i?😀😀😀😀 Lockheed Martin eeh! Nataka chombo ya mzungu ina 6 cyl, cc kuanzia 3000+, plus twin turbo mzeee
Mzigo unasoma “Holy Man” mzee wa upako!kwenye hili kila mtu ajiombeee, nitaweka kabisa na plate number ya jina, niwapulize vizuri 😀😀😀
Kuwapigisha mchakamchaka wa uonevu 😀😀😀Unataka kutufanyaje wazee wa VVT-i?
😀😀😀😀😀 tunapuliza dhambi zaoMzigo unasoma “Holy Man” mzee wa upako!
naona mjapan kaja kwa speed sana kutetea kombeKumekucha
Mkuu nata 6cyl, TFSI, 3.0L and aboveee nikipata lenye 4.5L Twirn Turbo litapendeza zaidiSBT nimeona 2.0 TFSI ina 44,000km bila wakina Zakayo kuweka mkono inataka Kam USD 14500.
Holy Man achana na Audi ya nini?
Chukua F30 ya 2013 tu. Hafu uzuri wa F series zote ni turbo, huna haja ya kuchukua cc3000 maana Wajerumani washafanya yao, cc2000 tu mziki wake hauguswi na mjapan wa cc3500.
Mfano, 2013 BMW F30 320 N20 yenye cyl 4 inakutosha kabisa.
Ila Miraba apo kasema kama unataka 6 cyl hapo ni N55, S55 au 58 zote izo 3000cc petroleum.
Ndani F30 ni kama cockpit ya Lockheed Martin F22 Raptor.
Heheheh tutanyonga turbo tu😅Kuwapigisha mchakamchaka wa uonevu 😀😀😀
Sikuwa nazipenda gari zenye turbo ila sasa natamani hata gari nzima wajaze ma turboHeheheh tutanyonga turbo tu😅
Certified 😎 hizo askari wanakaa pembeni na kukupa go ahead tu😅Nyie hangaikeni na hizo fuga. Ila ukitaka kuwahi na kuwa na unyama mwingi njiani hii ndio itakuwa baba lao. Kibao cha hamsini hii unaingia na 160kph kama mweweView attachment 2026295