HARRISON ONE
Member
- Jan 8, 2014
- 42
- 30
mzee wa protocol ikulu huyo!!!genius wa kupokea na kupanga wageni!!!
mkuu wa itifaki ikulu nadhani anaitwa Maharage ni mnene mweusi.ungetupia picha ya huyo bonge la mtu ili tumtambue na sisi
TBC wameniboa sana, camera yao ipo angle moja tu, hawawezi kuonyesha matukio vizuri huku wanadai wana gari la matangazo la kisasa
uHuyo si mbunge wa temeke
mkuu wa itifaki ikulu nadhani anaitwa Maharage ni mnene mweusi.ungetupia picha ya huyo bonge la mtu ili tumtambue na sisi
mkuu wa itifaki ikulu nadhani anaitwa Maharage ni mnene mweusi.ungetupia picha ya huyo bonge la mtu ili tumtambue na sisi
ITV na star TV walionyesha. Sisi hatuangalii pazia lililopaukaSi mnasemaga hamuangalii TBC nyie leo kimekukuta nini mpk unatoa mimacho yako TBC?
TBC wameniboa sana, camera yao ipo angle moja tu, hawawezi kuonyesha matukio vizuri huku wanadai wana gari la matangazo la kisasa
Balozi maharage hakupelekwa ubalozini? Dubai if I am not mistaken?
Kwa picha mtaalamu Maharage picha yake iko hapa.
http://3.bp.blogspot.com/-1JG3OUo6eMo/UVtYTU-B9AI/AAAAAAAAE3Y/92Qe_V2vvcw/s1600/maharage+kasheba.jpg
Anaitwa Balozi Maharage, ndio Cfief Protocol Officer wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa wadhifa huo ndio anaongoza kitengo cha Itifaki wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa.
Mkuu chukua likes za kutosha kutoka kwangu..umenitisha na hope utakuwa mmojawapo wa watu wa karibu kwenye hii ofisi..huyu jamaa anafanya kazi nzuri sana
TBC bado sana katika live coverege maana hao wanaochukua matukio baada ya kutuonesha sisi tusiokuwepo uwanjani wanashangaa wenyewe kwanza tukio likipita ndio anaelekeza kamera .