Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,547
- 2,194
Amia Halotel
JipuUmesema ya moyoni mwangu
Tatizo halotel hawajaboresha Internet yao huku kwetu
Nadhan hili lipo Kwa mtu na mtu mkuu,mbona hicho cha alfu 3 kwangu kinakaa Tu, Ila Kwa Voda huko hamna ubishi.Halotel ndio wez kabisa unanunua cha 3000 kinaisha masaa 9 au 10 unannua cha 5000 ndani ya siku moja wanakutumia msg kifurushi cha 3000 kimekarbia kuisha unapiga simu wanakwambia matumiz matumiz gan ya kumaliza gb 7 siku moja bora ingekua movie labda
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Nazungumzia halotel voda nilishaacha. 5000 gb7 siku moja kimeishaNadhan hili lipo Kwa mtu na mtu mkuu,mbona hicho cha alfu 3 kwangu kinakaa Tu, Ila Kwa Voda huko hamna ubishi.
Nimekuelewa mkuu,hebu angalia settings za app,isije kuwa zinaji update automatically huko background..Maana Mimi najiunga cha buku3 kile cha gb3 Zinakaa vizuri Tu... Kwahyo ni either setting au matumizi.Nazungumzia halotel voda nilishaacha. 5000 gb7 siku moja kimeisha
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Sawa ngoja nicheckNimekuelewa mkuu,hebu angalia settings za app,isije kuwa zinaji update automatically huko background..Maana Mimi najiunga cha buku3 kile cha gb3 Zinakaa vizuri Tu... Kwahyo ni either setting au matumizi.