Yes, hao hawawezi kulima bamia kwa ujira wa Tsh 25,000Yakawaida sana huku haoJKT wanaomba kurudi nyumbani
ExquisiteView attachment 1615962Haya ndio mazoezi mepesi ya kijeshi
Mh hayo sio mazoezi hivyo vinaitwa vikwazo askari yoyote amepitia hivyo jamanHivi Mnaijua ile ya JKT ku"Crow"" chini ya seng'enge .... Huku umevaa kibukta na green vest''
Ama""Fatiki za kutwa nzima"""Huku
Mkesha""Wenye Doso kal!! Unakusubili!!! Uw!!!
Afu hapo sio mwanajeshi!!! Unajiandaa kuludi Home
After 2, yrs"""" ukitoboa....
Ha ha haaa! Vikwazo tena.Mh hayo sio mazoezi hivyo vinaitwa vikwazo askari yoyote amepitia hivyo jaman