Mazoezi Nyumbani mechi ugenini

[emoji23][emoji23][emoji23] na bado tunafanya utafiti tuongeze nchi kadhaa kwenye list kuhusu mapishi tutawafundisha taratibu
 
Hawajui kupika halaf wachafu hawaogi wanapaka mafuta tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume wetu wamerogwa na tutawarudishaa
 
Ha Ha Ha kwenye kupika wale ndugu zetu wanajua kuchemsha makande tu ,githeri mchele kwao mpaka yesu au mtume akizaliwa,wanaume wetu jamani lakini why?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Uliona lile jicho la bibi harusi wa kiba kwa prince wetu,haki yule atamtesa mwanetu
[HASHTAG]#aachike[/HASHTAG] tu kwa kweli hatutaki atutesee mwanetu
Nililiona nikasema hapaa ataachika kwa pamoja tuseme Ameen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…