Mazoezi magumu zaidi ya majeshi ya nchi tofauti duniani

Bongo mazoezi yao ni magum sana na lishuhudia hilo,ukitaka kujua ni mazoezi gani mpige kibao mjesh uone!!!
 
yakibongo ni kwenda kiliport then unapitia kwenye bwalo unakunywa weeeee mpaka unashindwa kurud om! then mwisho WA mwezi unachukua mshiko!
magu alipatia kuwawekea kodi lakini
ANGEWAWEKEA KWENYE POMBE NA SIGARA ILA UJENZI NA MENGINEYO ANGEWAACHIA TUUUUU!
 
Mazoezi kwa wanajeshi ni kitu cha muhimu sana. Majeshi duniani huhakikisha kuwa wanawafunza wanajeshi wao mafunzo ya kuikakamavu kuweza kuwajenga kimwili na kiakili ili kuweza kupambana na hali tofauti tofauti wanazokumbana nazo wakiwa vitani au katika mazingira mengine.

Hizi hapa ni picha za majeshi tofauti tofauti duniani zikionyesha mazoezi magumu ambayo huwa wanfanya.
d26a71a3ed8fe921056bed64d43b600d.jpg

Wanajeshi wa China wakifanya mazoezi kwenye matope.
a4dd2e343e51e867805e2a00c732b3ce.jpg

Mwanajeshi wa China akitambaa chini ya nyaya zinazowa waka moto wakati wa mazoezi.
4ac4eb541f2908207779c044500c7d65.jpg

Baada ya kutambaa na kufanya mazoezi kwenye moto, sasa wanafanya mazoezi ya viungo.
3b6e6267459487121dd507eb725683db.jpg

Mazoezi wakati mwingine huwa ni adhabu kwa wanajeshi. Hapa wanajeshi wa China wakitakiwa kubana pumzi na kuweka uso ndani ya maji.
eefaf722359032997aaf6f0d46ad8d04.jpg

Wanajeshi wa China wakifanya mazoezi yao kwenye barafu. Maeneo haya yana baridi ya hali ya juu.
fb2deb9525e6a13852c933d9646e7ca6.jpg

Wanajeshi wa kitengo maalum cha kivita nchini Korea ya Kusini wakifanya mazoezi yao kwenye barafu.
fc68de10b88d764bb6b2ae85ba08209f.jpg

Mwanajeshi wa nchini Canada akifanya mazoezi katika maji yenye barafu ikiwa ni mazoezi ya NATO.
7b0172a37593b886eea1a9c58ede34c5.jpg

Wanajeshi wa majini wa Marekani pamoja na Korea Kusini wakifanya mazoezi pamoja katika milima nchini Korea Kusini.
05a6cee0a5b9c424104fcc3041ee2ee5.jpg

Wanajeshi wa Marekani wakiwa mazoezi Thailand. Katika kujifunza namna ya kushi katika hali ngumu, wanajeshi hao hulazimika kunywa damu ya Chatu.
b92385f48332f42f98dad8f2dbf0140a.jpg

Mwanajeshi wa Marekani wakiwa mazoezini ambapo anaruka kutoka kwenye helikopta akiwa na mbwa anayemfanyia mazoezi.
ad7dd9732348ff6248b2026bd764ece4.jpg

Wanajeshi nchini Japan wakifanya mazoezi ya kuning’ia kwenye helikopta kwa kutumia kamba.
c4c18bc56f8040ddeb8bd931fda02f0a.jpg

Ili mwanajeshi ahitimishe mafunzo ya wiki tisa nchini Taiwan, unatakiwa kutembea umbali wa futi 150 juu ya mawe na miamba.
39621f4ad36d5c68e78f001dc559525b.jpg

Belarus, ili uweze kuwa mmoja wa kundi la Red Berets, unatakiwa kupita kwenye vikwazo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupita juu ya bomba kwa kutembea.
614ac43836f5e804fa009610da0c9388.jpg

Mmoja wa wanakundi wa Red Berets akiwa amefukiza kichwa chake ndani ya matofali yenye moto ikiwa ni sehemu ya maonyesho ya kundi hilo kila mwaka.
c467e15c310037eab4975134f5bb8289.jpg

Mazoezi ya uvumilivu ni muhimu sana, wanajeshi wa Israel kila mmoja analazimika kutembea umbali wa maili 43 (69 km) ikiwa ni sehemu ya mazoezi.
e1f81b457891004968399176a2876430.jpg

Wanajeshi wa Palestina wakifanya mazoezi ya kuruka angani.
7ae2f3d2e46e1b7bf3e36ef7628685e5.jpg

Kundi la Kurdish YPG nchini Syria likifanya mazoezi katika viunzi vyenye moto
e3cea767ebcbb22374c74bc0d3ef9205.jpg

Wanajeshi wa Kishia nchini Iraq wakifanya maonyesho ya mazoezi yao wakati wa mahafali yao.
b50853fe79b36caa76df5960794c8cdb.jpg

Wanajeshi wengine wa Kishia nchini Iraq ili kuweza kuhitimu mafunzo yao wanalazimika kutambaa kwenye mchanga/udongo jangwani.

Asante.
hilo la kutembea km 69 nalo ni zoezi gumu?
 
ISIS ni wahuni..sio wanajeshi..naona kuna mtu kauliza kuhusu ISIS..

Mwenye ile picha inaonyesha wanajeshi wa kongo wakiwa wamesimamia vichwa atuwekee
 
Back
Top Bottom