Mazoezi baada ya ibada ndani ya nyumba ya ibada?

Mazoezi baada ya ibada ndani ya nyumba ya ibada?

Wenzako hawafanyi kwa ajili ya Afya Bali kwa ajili ya kumpigania Mungu wao ambaye hawezi kjjilinda mwenyewe.
Hapo ni sehemu gani wamesema au wameandika kuwa ni kwa ajiliya kumpigania Mungu, wengi wanachokosea ni kwamba gaidi hawezi kufanya mazoezi yake sehemu ya wazi kihivyo au sehemu inayojulikana ndio maana hata huko Afghanistan walikokuwa Al kaida Marekani walikwenda lakini walishindwa kujua ni sehemu gani walipo hao magaidi, ndio wakaishia kuivurumishia mabom nchi nzima kuua waliomo na wasiokuwemo.
Then gaidi hana alama.
 
Hapo ni sehemu gani wamesema au wameandika kuwa ni kwa ajiliya kumpigania Mungu, wengi wanachokosea ni kwamba gaidi hawezi kufanya mazoezi yake sehemu ya wazi kihivyo au sehemu inayojulikana ndio maana hata huko Afghanistan walikokuwa Al kaida Marekani walikwenda lakini walishindwa kujua ni sehemu gani walipo hao magaidi, ndio wakaishia kuivurumishia mabom nchi nzima kuua waliomo na wasiokuwemo.
Then gaidi hana alama.
Anayo alama gaidi.
 
1.Ana chuki kubwa na watu wa imani tofauti.
2.Hatamani kuishi.
3.anawachukia wanaoishi maisha mazuri.
4.Hua akiambiwa jambo na kiongozi wa dini yake anatekeleza bila kutafakari.
5. IQ yao iko chini sana.
Hayo huwezi kuyabaini kirahisi, nilimaanisha alama labda usoni au alama za nje ambazo ni rahisi kuonekana.
 
Kama usoni, sana sana wanakuwaga na masijida makubwaaa.
Hapo ndio unapokosea, kuwa na sijda sio alama yaugaidi, ndugu naimanihujawahi kupambana na haya mambo, bora yasikie tu kwa wengine, kuna ndugu mmoja alikwenda kuchukuliwa zanzibar kipindi kile baada ya kulipuliwa US Embassy lakini kwa tunaomfahamu hakuwa na sijda, je walio na sijda wote ni magaidi?
Katoe taarifa basi maana hata shehe mkuu wa mkoa wa Dsm anayo
 
Dunia ina waislamu bilioni mbili,au 23% ya idadi ya watu wote waliopo duniani,unadhani uislamu ingekuwa dini ya shari unadhani dunia ingekalika?
Wengi wetu ama kwa kukosa ufahamu au kwa ushabiki tumekuwa tukiihusisha dini ya kiislamu na ugaidi.
Nakupa challenge uende ukasome historia ya ugaidi from the first century to date alafu utaelewa kinachoendelea duniani

Kwa nini huwa wanasema"Allah hu wakbar"kabla ya kulipua???
 
Wengi wanatumika kwa kigezo cha udini, imani ni kitu nadra sana na ukimpata mtu akakutia ujinga kichwani umekwenda. Tatizo lipo katika elimu ya kufikiri ndio maana wengine wanapeta katika uchaguzi kwa kuchaguliwa na watu wenye akili hizi ambazo wamezijenga. Vivyo hivyo wengine wanaziwahi na kuzitumia katika mambo haya ya uharibifu wa amani.
 
2f11f41b108ae3e4603d965af85750c5.jpg
MKICHEZA NDOMBOLA KANISANI NA KUKATA MAUNO , NI SAWA. NA HAWA WENDAWAZIMU NYUMA YA IBADA WANAFANYA KINYUME CHAKE. WALAANIWE KABISA.
 
Wanafunzi wa bwana Yesu walikuwa wakitembea na panga mbili mbili, za nini ilikuwa?
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa MAARIFA, kila taasis huwa ina kamati ya ulinzi, kanisan kwetu huku tuna piga mazoez ya kwenda mbinguni na vifaa vya kudumisha ulinzi na amani,
BIBLIA inasema vita vyetu si vya damu na nyama, LAKINI ikitokea vimekuwepo unafanyaje japo silaha zote za kiulimwengu WATU wa imani tunazi convert into spiritual weapons na zina nguvu na uweza wa ajabu,
But kikubwa ni MAARIFA
 
Back
Top Bottom