Nani asiyejua kuwa ni dini ya kujitoa muhanga? Rejea yaliyotoke ubalozi wa marekani tz na kenya westgate, nenda marekani, rejea kukatwa kichwa hovyo kwa binadam.Dunia ina waislamu bilioni mbili,au 23% ya idadi ya watu wote waliopo duniani,unadhani uislamu ingekuwa dini ya shari unadhani dunia ingekalika?
Wengi wetu ama kwa kukosa ufahamu au kwa ushabiki tumekuwa tukiihusisha dini ya kiislamu na ugaidi.
Nakupa challenge uende ukasome historia ya ugaidi from the first century to date alafu utaelewa kinachoendelea duniani
Wenye vichaa haooo,tatizo hata uislam mnauonea wivu ndo mana dada zenu wote tunawaslimisha na tunawaoa sana saivi maana nyie ndoa hadi ufikishe 40'sNani asiyejua kuwa ni dini ya kujitoa muhanga? Rejea yaliyotoke ubalozi wa marekani tz na kenya westgate, nenda marekani, rejea kukatwa kichwa hovyo kwa binadam.
Huenda wewe tu ndiyo hujui kuwa kuwa muislam na kujitoa muhanga kuangamiza wasio na hatia ni moja ya mafundisho ya dini yenu..ukibisha basi n kwasababu unajitahidi kutaka kuficha ukweli.
Dini ya amani ni ile ya mfalme wa amani..anakwambia ukipigwa shavu la kushoto toa na la pili kabsa
Haya ni maneno ya mtu aliyeweka akili rehani,siku ukirudishiwa akili bilashaka utacomment vyenye mantikiWenye vichaa haooo,tatizo hata uislam mnauonea wivu ndo mana dada zenu wote tunawaslimisha na tunawaoa sana saivi maana nyie ndoa hadi ufikishe 40's
Unawajua Irish Republican Army (IRA)?Sicarii,Tamil tigers je?,kazi ilokuwa inafanywa na Knight templars unaifahamu,the list is long.ugaidi upo na umekuwepo kabla ya mtume kuja,wapo magaidi wakristo (IRA),wapo wahindu (tamil tigers),wapo waislamu (alshabaab,ISIS etc).Nani asiyejua kuwa ni dini ya kujitoa muhanga? Rejea yaliyotoke ubalozi wa marekani tz na kenya westgate, nenda marekani, rejea kukatwa kichwa hovyo kwa binadam.
Huenda wewe tu ndiyo hujui kuwa kuwa muislam na kujitoa muhanga kuangamiza wasio na hatia ni moja ya mafundisho ya dini yenu..ukibisha basi n kwasababu unajitahidi kutaka kuficha ukweli.
Dini ya amani ni ile ya mfalme wa amani..anakwambia ukipigwa shavu la kushoto toa na la pili kabsa
Hebu kwa faida ya wote unionyeshe mahala kwenye Qur-an,hadithi ama maisha ya mtume palipofundisha kuuwa mtu asiye na hatia ama mtu wa dini tafauti.ukiweza kutuletea kipengele hicho nabadili dini leo leo.Nani asiyejua kuwa ni dini ya kujitoa muhanga? Rejea yaliyotoke ubalozi wa marekani tz na kenya westgate, nenda marekani, rejea kukatwa kichwa hovyo kwa binadam.
Huenda wewe tu ndiyo hujui kuwa kuwa muislam na kujitoa muhanga kuangamiza wasio na hatia ni moja ya mafundisho ya dini yenu..ukibisha basi n kwasababu unajitahidi kutaka kuficha ukweli.
Dini ya amani ni ile ya mfalme wa amani..anakwambia ukipigwa shavu la kushoto toa na la pili kabsa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha uchochezi mkuu!Huu mchuano unanoga hahahahaha. Let me seee maana kuna watu hawapendi kushindwa kabisa
Duu umeniaribia usingizi
Duuhh!! Hiyo si ni judo kabisa!! No maana hawatakagi viti au mabenchi ya kukalia kwenye ibaada maana saa nyingine linakuwaga Dojo
Kwakuwa upo nyuma ya kompiuta(simu) unaweza kuandika chochote.Mioyo yao imejaa nia mbaya kwa watu fulani.Mimi aliyekuwa rafiki na mwanafunzi mwenzangu alipoona namshinda kwa hoja na misimamo akasema anatamani siku ije ipigwe JIHAD, kwakuwa mimi mwenyewe Judo ndo zimeamkia hapa nikamwambia anzisha wewe sasa hivi nikuvunje ugoko, weeeeee alijaribu unadhani!!!
Mkuu hayo ya watu wanapotea kwa kukosa maarifa yesu aliyasema wapi? Unaweza kuweka kifungu kutoka kwenye quran au biblia?Kuna msemo maarufu wa Nabii Issa (yesu) a.s unaosema "Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa.
Hakuna hatia kwa watu Kufanya mazoezi ndani ya jengo la ibada.Kwenye uslamu na imani nyengine Msikiti(temple) sio tu ni sehemu ya kufanya ibada bali pia ni community center,sehemu ya jamii kukutana,kusaidiana na kufanya mengine mengi yawahusuyo ikiwamo mazoezi.
![]()
![]()
![]()
Pichani ni watawa na waumini wakibudha (budhist monks) wakifanya mazoezi ya kung fu/tai chi katika matemple yao
Ni wajinga pekee na wale wasio na uelewa wa dunia wanaoweza kushangaa watu kufanya mazoezi katika maeneo yao ya ibada.
A mosque is an institution.
![]()
![]()
![]()