Kama mnavyojua kusoma vitabu mbalimbali kunaongeza uwezo wa kufikiri na kuupa ubongo chakula.
Nimekuwa natamani sna kuwa msomaji wa vitabu mbalimbali ila tatizo naweza kuanza nikapiga pages 20 hv then badae najikuta nashindwa kuendelea.
Nilitamani sana nikisome kitabu cha Mengi, I can I must I will ila nimeishia page ya 23.
Nina vitabu kibao hardcopy na vingine softcopy in pdf ila issue kusoma sasa ndio kimbembe.
Nipeni hints mnawezaje??
Nimekuwa natamani sna kuwa msomaji wa vitabu mbalimbali ila tatizo naweza kuanza nikapiga pages 20 hv then badae najikuta nashindwa kuendelea.
Nilitamani sana nikisome kitabu cha Mengi, I can I must I will ila nimeishia page ya 23.
Nina vitabu kibao hardcopy na vingine softcopy in pdf ila issue kusoma sasa ndio kimbembe.
Nipeni hints mnawezaje??