Maziwa ya Punda na farasi yananywewa na watu wa mataifa mengi wakiwemo wa Misri wa kale... Inasemekana Cleopatra alikuwa akikoga maziwa ya punda ili aendeleee kuwa na ngozi nzuri na kutunza mwonekano wake... Alihitaji punda 700 ili kuweza kupata maziwa yalio toshereza beseni lake la kuogea.Nchini Chile, wananchi wake wengi wanapenda kunywa maziwa punda. Je maziwa haya yana faida gani kwa mwili wa binadamu?
Maziwa ya Punda na farasi yananywewa na watu wa mataifa mengi wakiwemo wa Misri wa kale... Inasemekana Cleopatra alikuwa akikoga maziwa ya punda ili aendeleee kuwa na ngozi nzuri na kutunza mwonekano wake... Alihitaji punda 700 ili kuweza kupata maziwa yalio toshereza beseni lake la kuogea.
Maziwa ya punda yamekusanya mafuta kiwango kidogo, hivyo ubora wake unakaribiana na maziwa ya binadamu. Maziwa ya punda yanaendelea hadi leo kutumika kwenye maswala ya urembo. Kuna sabuni na moisturizers zilizotengenezwa kwa maziwa ya punda.
Vile vile yanasaidia kuondoa sumu mwilini, Homa, machovu, kuondoa madoa ya kwenye macho, kuongeza nguvu kwenye meno, kuondoa mikunjo usoni, uvimbe kwenye tezi, asthma na matatizo ya kizazi. Pia usaidia ini kupambana na sumu, utokaji wa damu puani na urahisisha kupona kwa haraka kwa vidonda
Mkuu nilikuwa nakuja uko uko kwenye maziwa ya ngamia lakini umeniwahi. Inasemekana kwa asli maziwa ya ngamia ni vigumu sana kutengeneza jibini (cheese) na siagi (butter). Inabidi uongeze baadhi ya vimbatio ili kuwezesha utengenezaji wa jibini na siagi. Na hizo bidhaa huwa na very low levels of cholesterol na lactose.XPaster Umesema kweli Swadakta na mimi naongeza Faida ya
`Maziwa ya ngamia huongeza kinga kwa wenye VVU`
Maziwa ya ngamia yametajwa kuwa huongezea kinga kwa wagonjwa wa Ukimwi na kutibu wagonjwa wa kisukari, vidonda vya tumbo, tiba ya fizi zenye kutoa damu na wenye upungufu wa vitamini C....
http://216.69.164.44/ipp/nipashe/2008/03/08/109920.html
Mkuu nilikuwa nakuja uko uko kwenye maziwa ya ngamia lakini umeniwahi. Inasemekana kwa asli maziwa ya ngamia ni vigumu sana kutengeneza jibini (cheese) na siagi (butter). Inabidi uongeze baadhi ya vimbatio ili kuwezesha utengenezaji wa jibini na siagi. Na hizo bidhaa huwa na very low levels of cholesterol na lactose.
Baadhi ya faida Nyingine:
Ubora wa maziwa ya ngamia yanakaribia maziwa ya binadamu.
Maziwa ya Ngamia yana vitamini C mara tatu zaidi kulinganisha na maziwa ya ng'ombe.
Maziwa ya ngamia yana kiasi cha mara kumi cha ubora wa kuzuiya bacteria na ukuwaji wa virus, kulinganisha na maziwa ya ng'ombe.
Maziwa ya ngamia yana protini ya insulini kiasi cha kuweza kuwasaidia wagonjwa wa kisukari.
Uko india wanatumia maziwa ya ngamia kutengenea dawa za aina mbali mbali.
Shukrani sana mkuu.