Mazishi ya Patirck Mafisango

Mazishi ya Patirck Mafisango

Bwana alitoa na Bwana mwenyewe ametwaa, jina lake libarikiwe.

Hawa foreigners wawe wanafanya jitihada ya kuchunguza historia ya baadhi ya vilabu hapa nchini kabla ya kujiunga navyo kwa vile kuna ambavyo vina utamaduni wa kutoa kafara wachezaji na viongozi mashuhusri ili viweze kupata mafanikio.

Historia inaonyesha kuwa Simba Sports Club ndiyo kinara wa mambo haya - TAFAKARI!!

Duh
 
Nasikia viongozi wa SImba wa wakati huo walikula rambirambi za huu msiba
 
Bwana alitoa na Bwana mwenyewe ametwaa, jina lake libarikiwe.

Hawa foreigners wawe wanafanya jitihada ya kuchunguza historia ya baadhi ya vilabu hapa nchini kabla ya kujiunga navyo kwa vile kuna ambavyo vina utamaduni wa kutoa kafara wachezaji na viongozi mashuhusri ili viweze kupata mafanikio.

Historia inaonyesha kuwa Simba Sports Club ndiyo kinara wa mambo haya - TAFAKARI!!
Utopolo walihusika
 
Back
Top Bottom