Bwana alitoa na Bwana mwenyewe ametwaa, jina lake libarikiwe.
Hawa foreigners wawe wanafanya jitihada ya kuchunguza historia ya baadhi ya vilabu hapa nchini kabla ya kujiunga navyo kwa vile kuna ambavyo vina utamaduni wa kutoa kafara wachezaji na viongozi mashuhusri ili viweze kupata mafanikio.
Historia inaonyesha kuwa Simba Sports Club ndiyo kinara wa mambo haya - TAFAKARI!!
Huyu alisema ana miaka 26 alipojisajiri Simba SC, lakini alipofari wakati wa mazishi ndugu zake wakasema Ana miaka 35!8 years on! Rip Mafisango
Utopolo walihusikaBwana alitoa na Bwana mwenyewe ametwaa, jina lake libarikiwe.
Hawa foreigners wawe wanafanya jitihada ya kuchunguza historia ya baadhi ya vilabu hapa nchini kabla ya kujiunga navyo kwa vile kuna ambavyo vina utamaduni wa kutoa kafara wachezaji na viongozi mashuhusri ili viweze kupata mafanikio.
Historia inaonyesha kuwa Simba Sports Club ndiyo kinara wa mambo haya - TAFAKARI!!