Mazishi ya Patirck Mafisango

Mazishi ya Patirck Mafisango

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,485
IMG-20120520-00293.jpg

boban akiwa na mgosi kinshasa

IMG-20120520-00297.jpg

watu wakiwa kwenye foreni ya kutoa heshima za mwisho

IMG-20120520-00288.jpg


IMG-20120520-00303.jpg

akipelekwa makaburini

IMG-20120520-00306.jpg

hii ndo nyumba ya milele ya patrick mafisango
477695_415627911804705_100000724998998_1251128_717874454_o.jpg

hili ndo gari alilo pata nalo ajali.
r.i.p mafisango
 
Kwa majonzi makubwa kama shabiki wa SIMBA SC nitakukumbuka Patrick.
May the Almighty God Rest your Soul in Eternal Peace.
 
pumzika kwa amani bro,umetangulia sisi twaya tupo nyuma yako...mungu akupe mwanga wa milele akuangazie
 
Naked we came,naked we return. R.I.P our ill-fated MAFISANGO.
 
Bwana alitoa na Bwana mwenyewe ametwaa, jina lake libarikiwe.

Hawa foreigners wawe wanafanya jitihada ya kuchunguza historia ya baadhi ya vilabu hapa nchini kabla ya kujiunga navyo kwa vile kuna ambavyo vina utamaduni wa kutoa kafara wachezaji na viongozi mashuhusri ili viweze kupata mafanikio.

Historia inaonyesha kuwa Simba Sports Club ndiyo kinara wa mambo haya - TAFAKARI!!
 
Bwana alitoa na Bwana mwenyewe ametwaa, jina lake libarikiwe.

Hawa foreigners wawe wanafanya jitihada ya kuchunguza historia ya baadhi ya vilabu hapa nchini kabla ya kujiunga navyo kwa vile kuna ambavyo vina utamaduni wa kutoa kafara wachezaji na viongozi mashuhusri ili viweze kupata mafanikio.

Historia inaonyesha kuwa Simba Sports Club ndiyo kinara wa mambo haya - TAFAKARI!!

teh teh teh umenifurahisha kweli kweli, kumbe na wewe unalijua eenh! kuna mchezaji miaka ya 80 mwanzoni alifia pale Msimbazi akipelekwa Muhimbili sikumbuki jina , je Sembuli? hawa watu balaa, hata Mkwe wake Sunday manara pia walimtoa kafara tena alikuwa kama Albino fulani fulani hivi hawa Simba sio watu hata kidogo!
 
teh teh teh umenifurahisha kweli kweli, kumbe na wewe unalijua eenh! kuna mchezaji miaka ya 80 mwanzoni alifia pale Msimbazi akipelekwa Muhimbili sikumbuki jina , je Sembuli? hawa watu balaa, hata Mkwe wake Sunday manara pia walimtoa kafara tena alikuwa kama Albino fulani fulani hivi hawa Simba sio watu hata kidogo!

Ndugu thanks kwa maone yako...wewe unaona mbali sana na unajuwa jinsi ya kumfumua mtu ubongo
 
Mm yanga lkn kati ya wachezaji wa simba nliowahi kuwapenda mafisango ni wa kwanza na wa mwisho..ENDLEA KULALA SALAMA KAKA
 
Back
Top Bottom