Mzee Mwanakijiji Platinum Member Joined Mar 10, 2006 Posts 34,243 Reaction score 44,524 Aug 18, 2011 #1 Habari zaidi, picha na video zitakujwa siku si nyingi.
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,317 Reaction score 1,485 Aug 18, 2011 #2 hata kama kafanyaje! Bado analiliwa mtu kazaliwa 1929? Mwacheni jamani akapumzike kwa amani!
Bujibuji Simba Nyamaume Platinum Member Joined Feb 4, 2009 Posts 78,439 Reaction score 166,898 Aug 18, 2011 #3 CCM Mafia Mob ni hatari, hawataki kabisa kuambiwa ukweli.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,842 Reaction score 13,806 Aug 18, 2011 #4 Haya weee..........
Mzee Mwanakijiji Platinum Member Joined Mar 10, 2006 Posts 34,243 Reaction score 44,524 Aug 18, 2011 Thread starter #5 First Born said: hata kama kafanyaje! Bado analiliwa mtu kazaliwa 1929? Mwacheni jamani akapumzike kwa amani! Click to expand... kwa hiyo mtu akiuawa akiwa na miaka 90 polisi wasifanye uchunguzi? vipi miaka 60?
First Born said: hata kama kafanyaje! Bado analiliwa mtu kazaliwa 1929? Mwacheni jamani akapumzike kwa amani! Click to expand... kwa hiyo mtu akiuawa akiwa na miaka 90 polisi wasifanye uchunguzi? vipi miaka 60?
Kiroroma JF-Expert Member Joined Feb 6, 2009 Posts 370 Reaction score 116 Aug 18, 2011 #6 Mzee Mwanakijiji said: Habari zaidi, picha na video zitakujwa siku si nyingi. View attachment 35549 Click to expand... Mkuu pole sana nakuona hapo mbele umepiga miwani unaongoza msafara wa maziko.
Mzee Mwanakijiji said: Habari zaidi, picha na video zitakujwa siku si nyingi. View attachment 35549 Click to expand... Mkuu pole sana nakuona hapo mbele umepiga miwani unaongoza msafara wa maziko.
Nyakageni JF-Expert Member Joined Feb 1, 2011 Posts 15,044 Reaction score 5,115 Aug 18, 2011 #7 Apumzike kwa amani. CCM nayo ipumzike kwa amani
H Hardwood JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,020 Reaction score 1,050 Aug 18, 2011 #8 Kazikwa LUSHOTO sehemu gani mkuu. Maana ni majina ya Kisambaa hayo. Nimeishi sana kule coz Dingi alikuwa ticha kule. Mzee Mwanakijiji said: Habari zaidi, picha na video zitakujwa siku si nyingi. View attachment 35549 Click to expand...
Kazikwa LUSHOTO sehemu gani mkuu. Maana ni majina ya Kisambaa hayo. Nimeishi sana kule coz Dingi alikuwa ticha kule. Mzee Mwanakijiji said: Habari zaidi, picha na video zitakujwa siku si nyingi. View attachment 35549 Click to expand...
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,689 Reaction score 64,719 Aug 18, 2011 #9 Rest In Peace
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Aug 18, 2011 #10 R.I.P Kamwambie Nyerere hali halisi!
Nduka JF-Expert Member Joined Dec 3, 2008 Posts 8,552 Reaction score 2,386 Aug 18, 2011 #11 Chezea Mungu weye, sasa akafanye kufuru zake mbele yake.
Kachanchabuseta JF-Expert Member Joined Mar 8, 2010 Posts 7,263 Reaction score 685 Aug 18, 2011 #12 who is mahimbo in Tanzania??????????????????????????????
Mzee Mwanakijiji Platinum Member Joined Mar 10, 2006 Posts 34,243 Reaction score 44,524 Aug 18, 2011 Thread starter #13 Jeykey said: who is mahimbo in Tanzania?????????????????????????????? Click to expand... a Tanzanian citizen.
Jeykey said: who is mahimbo in Tanzania?????????????????????????????? Click to expand... a Tanzanian citizen.
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Joined Jul 3, 2007 Posts 5,554 Reaction score 2,160 Aug 18, 2011 #14 Rest In Peace... Mzee Mahimbo...
Shedafa JF-Expert Member Joined May 21, 2008 Posts 802 Reaction score 175 Aug 18, 2011 #15 Hili jna mbona limefanana na yule aliyekuwa meneja mkuu wa Uda kipindi cha maIkarius au majina tu yamefanana?. Nakumbuka naye alikuwa mchungaji miaka ya 80 mwishoni.
Hili jna mbona limefanana na yule aliyekuwa meneja mkuu wa Uda kipindi cha maIkarius au majina tu yamefanana?. Nakumbuka naye alikuwa mchungaji miaka ya 80 mwishoni.
S sirghanam JF-Expert Member Joined May 29, 2009 Posts 284 Reaction score 92 Aug 18, 2011 #16 Najaribu kutafuta habari ya huyu mzee mahimbo.. Mwanakijiji unaweza ukanipa link, ili niweze kuunga habari..
Najaribu kutafuta habari ya huyu mzee mahimbo.. Mwanakijiji unaweza ukanipa link, ili niweze kuunga habari..
Calnde JF-Expert Member Joined Oct 7, 2008 Posts 1,373 Reaction score 279 Aug 18, 2011 #17 Mzee Mwanakijiji said: a Tanzanian citizen. Click to expand... I just want to believe there is something over and above that. For the sake of us who knows nothing about him, let us know please
Mzee Mwanakijiji said: a Tanzanian citizen. Click to expand... I just want to believe there is something over and above that. For the sake of us who knows nothing about him, let us know please