Kwa taarifa yako ukizikwa kwenye sanduku unavimba hadi sanduku nhalikutoshi. Kwa uzikaji huo,maiti analazwa moja kwa moja, udongoni na hayo majani chini yake kuna ubao kuzuia mchanga. Maiti huyo hatoi wadudu na atakaa mpaka atakauka na kubaki mifupa. Kama ni sehemu yenye baridi sana hata ipite mwaka atabaki hivyo hivyo. Therefore it is the best way of burial kwani ndio unarudi mavumbini kweli kweli, sio kucheleweshwa mpaka sanduku lioze ndio uonje udongo.
Anyway, tuwogope MwenyeziMungu kwani ipo siku tutakufa na kuulizwa juu ya matendo yetuu hapa duniani.