Mazingira haya ya Profesa Mark Mwandosya ndio uchumi wa kati wenyewe vijijini

Maeneo mazuri sana hayo,ila ni lazima uwe na vipesa flani hivi,fikiria kuwa eneo kama hilo hata umeme wa Gridi hakuna si unaona ma panel ya solar huko juu,barabara nzuri ya kukufikisha mpaka hapo lazima uwe na uwezo wa kuitunza ili isigeuke kichaka,hilo eneo usilione linapendeza hivyo,shughuli yake ya kumaintain majani,miti na usafi lazima iwepo pesa,jiulize maji ya kutumia hapo yanatoka wapi maana inaonekana nyumba iko very isolated...
Na muda mwingi mzee anaishi kwenye hekalu lake lingine lililopo Matema ufukweni.
 
Mnyakyusa mnafiki huwa hayupo au ni wachache sana, na kama unakutana na mnyaki mnafiki ujue huyo amelaaniwa.
Mnyaki ukimkosea anakupasulia hapo hapo ili sumu imtoke mwilini na asibaki nayo.
Upo sahihi kabisa hatuwezi kumvumilia mtu anaezingua
 
Acha kuharibu Uzi wa mwandosya wewe ma Dr na ma prof wengi njaa Kali na wanaendesha mikweche hawana hela, hafu usoni bila hela ni useless tu, na sikuhizi wasomi wako kibao na hakuna ajira. Wenye hela wafanyabiadhara so usiwe obssed na usomi na ma title hamna kitu pale, hafu hyo airport yenu hivi inapokeaga madege makubwa Kama Qatar, au ethiopian, maana sioni potential ya hcho kiwanja kuwa na international visitors compared to K. I . A
Bukoba wengi tumechoka. Achana na hz
tambo za mitandaoni. Unakumbuka tetemeko lilivyotuaibisha? Nyumba za kichovu Kagera yote
 
Bukoba wengi tumechoka. Achana na hz
tambo za mitandaoni. Unakumbuka tetemeko lilivyotuaibisha? Nyumba za kichovu Kagera yote
Nakumbuka kipindi Cha tetemeko, vijumba vya udongo vilikuwa vingi vimebakiwa na wazee pamoja na ndizi kunyauka, wahaya kwa kupenda sifa wako vizuri, sasa tetemeko na kuomba chakula wapi na wapi?
 
Yalifanyika chini ya Baraza ipi la Mawaziri na Rais yupi?
Ikiwa kila aina ya ufisadi unaotokea, anayetuhumiwa ni waziri na wizara husika, how come ufisadi uliotokea wakati Mwandosya akiwa ndie waziri wa wizara husika leo hii unahoji baraza badala ya kuhoji waziri?
 
Mkuu jitahidi kutokuwa bised katika reporting.
Wazungu wanasema figures can lie, lakini liars can figure out.

Tukiamsha madudu na makaburi nani atapona?
EPA umewahi kuisikia?
Sema mtu unakuwa selective kwa vile unasukumwa na ajenda.

Tumeona boti la mabilioni la DSM-Bagamoyo, unaongelea vipi hapo?
Yale ya RADAR yanayomhusu marehemu Ben vipi?
Nyumba za serikai hadi leo ni kimeo hujawahi kusikia scandali hii?
Samaki wa kitoweo waliokaa kwenye freezer na kuingiza hasara za mabilioni je?
Kilio cha wananchi wa Kimara umekisikia?

Tusianzishe munkari zilizotulia, tuimbe tu chama chajenga nchi!!
Khaa! Haya ya watu tusizungumzie ufisadi uliopita yameanza lini hapa JF?! Sasa si tungemwambia mheshimiwa rais basi ndie aache kufukua hayo makaburi manake ni ya zamani hasa yaliyotokea wakati wengine ndo kwanza tupo sekondari!
 
Khaa! Haya ya watu tusizungumzie ufisadi uliopita yameanza lini hapa JF?! Sasa si tungemwambia mheshimiwa rais basi ndie aache kufukua hayo makaburi manake ni ya zamani hasa yaliyotokea wakati wengine ndo kwanza tupo sekondari!
Mijitu minafiki ndivyo mlivyo!
Ati wizi wa zamani si wizi!
 
Dongo lipi wakati unaonesha uzuzu wa SGR! Hoja Mwandosya, wewe unaleta habari za nyumba! Hicho kichwa chako kina akili au makamasi?

Povu la nini tena?! Mbona ume-panic? Wewe ni mke, nyumba ndogo au housegirl wa huyo mzee?! Kwa ninavyoona, jitu linafiki wewe ni mshenzi uliyelaaniwa unayemetetea huyo mumeo/basha wako.
Ijibu hoja
Wizi ni wizi tu.
Mijitu mijinga, Kama wewe, hufikiriri matusi ni mtaji!
Uliiba halafu unajidai Mtakatifu.
Unafiki mfupi.
 
Back
Top Bottom